Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tunashinda lakini tunahitaji kubadilika.

Ngoja tuone maana hata Liverpool alianza mdogo mdogo mwisho pumzi ikakata.
TUende hivi hivi mpk teka letu Kai mikazo lirudi🤠🤠...Madunduka Madueke na Kai na Odegaard akirudi it will be very interesting....Kuna watu siku ya mechi watakuwa wanaachwa nyumbani maana hamna nafasi kwny substitution....tuna quality ya ajabu kabisa.....
 
I would like to take this precious opportunity to congratulate Manchester city for winning the EPL 2025/2026.

THANK YOU FOR YOUR ATTENTION TO THIS MATTER.
 
Hakikisha tukikutana Palmer anakuwepo mkuu....hatutaki malalamiko na visingizio siku hyo....uwe na kikosi kamili tucheze bolu🤠🤠
20251011_140702.jpg

Ndio mnasema mna quality sio?
 
Kwa upande wangu Gyokeres akifunga huwa nafarijika sana.

Maana kuna wachawi wengi huwa wanakesha vilingeni ili jitu bad lionekane flop kama Isak.

Yule Isak liverpunga wajikumbushe kwa Andy Caroll ndio watawajua Newcastle vizuri.
Isaka pale Newcastle,timu ilikuwa inamzunguka ,ndio maana alionekana vile,

Isaka Bado sana kuingia level za CF kama kane, halland ,mbappe

Liverpool kutoa £120m ni risk, binafsi naamini kama Liverpool watamzunguka basi atakuwa hatari

Kwasasa ebitoke ana impact kuliko huyu msomali

Kingine nisisahau pale kwa Wizi wameibiwa kweli

€150m kwa yule ni hasara

Uchezaji wake kwa EPL Aya struggle sana

EPL haitaki watu laini laini
 
Back
Top Bottom