arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Mwezi huuhuu....mtaanza tena kumtukana Maresca kule kwny jukwaa lenu...ni suala la muda tuLondon ni Chelsea tuu,
Nyie wengine takataka tupuu
Mwezi huuhuu....mtaanza tena kumtukana Maresca kule kwny jukwaa lenu...ni suala la muda tuLondon ni Chelsea tuu,
Nyie wengine takataka tupuu
TUende hivi hivi mpk teka letu Kai mikazo lirudi🤠🤠...Madunduka Madueke na Kai na Odegaard akirudi it will be very interesting....Kuna watu siku ya mechi watakuwa wanaachwa nyumbani maana hamna nafasi kwny substitution....tuna quality ya ajabu kabisa.....Tunashinda lakini tunahitaji kubadilika.
Ngoja tuone maana hata Liverpool alianza mdogo mdogo mwisho pumzi ikakata.
Na bado tumuombee apige draw na man city
Hakikisha tukikutana Palmer anakuwepo mkuu....hatutaki malalamiko na visingizio siku hyo....uwe na kikosi kamili tucheze bolu🤠🤠
Kwa akili ya kawaida kabisa unaamini hizi quote za kutengeneza🤣🤣🤣....kwli Chelkenge ni Chelkenge tu....tunawasubiri siku ya tukio tuonyeshane makaliView attachment 3491250
Ndio mnasema mna quality sio?
Isaka pale Newcastle,timu ilikuwa inamzunguka ,ndio maana alionekana vile,Kwa upande wangu Gyokeres akifunga huwa nafarijika sana.
Maana kuna wachawi wengi huwa wanakesha vilingeni ili jitu bad lionekane flop kama Isak.
Yule Isak liverpunga wajikumbushe kwa Andy Caroll ndio watawajua Newcastle vizuri.