Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hiki ni kikundi cha kigaidi 😂

Screenshot_20250911-174229.jpg
 
Ndugu yangu kama ni mfatiliaji wa EPL basi hautabishana na mimi.

Mechi za chini ya sa10 zina mazonge sana ila ukiona timu kubwa inamuendelezo mzuri wakushinda game za chini ya saa10 basi ujue ni dalili za ubingwa.
Hakuna mechi ambazo zinawaliza wakamalia kama mechi za saa 8 siku ya jumamosi..
 
Wakati huo ode kaumia tayari..
Huyu asipokaza makalio....mwakani atauzwa...Babu yake Arteta hatamteteA...yule Andrea Berta hataki ujinga....Martinelli msimu ujao anaondoka....Kila dalili inaonekana...project imeshamuacha tyri....Semenyo anakuja msimu ujao kuchukua nafasi yake....
 
Madueke akikamata vibonde wenzake anageuka Prime Hazard😅😅
Kule Chelkenge alikuwa anacheza na wafukuza upepo😀😀...huku atacheza kwa ku enjoy sana....yaani bolu linapigwa mpk mpinzani ukifungwa unakuwa huna malalamiko....sisi na Chelsea lini kwani....maana ugomvi wetu haujaisha bdo
 
Back
Top Bottom