Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yule Gyokeres kama atapatiwa huduma stahiki uwanjani basi 20+ goals anafunga yule mwamba.

Ila kama tutaendeleza ujinga wakutokumpatia pasi za upendo basi ataonekana flop.
 
We've dodged a huge bullet. Huyu Sesko ni very average, physically not enough. Not even close to what we wanted.
It is not a player...it is the team....Manunu hata kama wangekuwa na Haaland bdo angeonekana flop....the team is rotten from the top to the core....ili watoke hapo walipo wanatakiwa waondokane kwanza na mentality ya kwmba sisi ni wakubwa...wakubali Hali halisi kwmba wao ni mid table team kwa sasa hii itapunguza presha kwa wachezaji....lakini pia wapate makocha sahihi na wawape mda ku implimate mawazo yao...mm nawashauri waachane na hyu Amorim wamchukue yule Babu Nuno na wampe mda na uhuru....they will be back....ila vngnevyo hakyanani tutabaki tunabishana na mashabiki wa Chelkenge na Livakuku hmu maana wao watakuwa Championship huko
 
Kuijadili muda mrefu Nyumbu ni kujidharirisha.

KIle ni kikundi cha wahuni sio timu ya mpira wa miguu.
 
Fundi madueke
IMG-20250916-WA0005.jpg
 
Man utd kwa sasa tushajikubalia tuna piga ttusishuke daraja kwanza wakati tunatafuta mchawi wetu ni nani. Ila na ninyi huwa mnashiriki ili kuwa mabingwa au washindi wa pili?

Nawashauri fukuzeni Arteta mlete kocha wa makombe la sivyo mniambie mmeridhika na nafasi ya pili au mnasubiria bahati mbaya liverkuku na city wafanye makosa muotee kikombe.
 
Hao bilbao wameikamia hii game, arteta aje na plan B ya kupata points 3
 
Tutawaongezeeni aftatu majirani kwa kutuuzia jitu la bolu Madunduka Madueke🤠🤠....anaupiga mwingi sana mpk unamwagika....siku mkimchoka na Gittens tushtueni tufanye biashara🤠🤠
Jitu la bolu, GOAT madueke next Ballon D'or. Huyu ndio atakaewatoa nafasi yenu pendwa ya pili kwenda namba moja. Non mess cristiano Madueke
Screenshot_20250917_220042_Firefox.jpg
 
🤣🤣🤣 Siku zote wanaocheka mwanzo ndio hua wanalia mwisho.
Kuna Asenyo ya mwanzo wa msimu na Asenyo ya mwisho wa msimu.

Methali 1:26-29
Nami nitacheka wakati msiba utakapowapata; Nitadhihaki msiba utakapowapata, msiba utakapowapata kama tufani, msiba utakapowapita kama kisulisuli, taabu na taabu zitakapowagharikisha.
 
🤣🤣🤣 Siku zote wanaocheka mwanzo ndio hua wanalia mwisho.
Kuna Asenyo ya mwanzo wa msimu na Asenyo ya mwisho wa msimu.

Methali 1:26-29
Nami nitacheka wakati msiba utakapowapata; Nitadhihaki msiba utakapowapata, msiba utakapowapata kama tufani, msiba utakapowapita kama kisulisuli, taabu na taabu zitakapowagharikisha.
Usitutishe....j2 tutakuonesha namna ya kumdhibiti Haaland jirani
 
🤣🤣🤣 Oyaaa nyie Ze Ganjas asubuhi hii ya saa mbili Haaland tayari ameshamaliza chupa mbili za Alkasusu, halafu Jeremy Doku naona amemshikia ki pakiti cha plastic kimefungwa na rubberband.
Karibu sana baadae mkuu uje Kuona soka safi🤠🤠🤠....naifahamu matokeo unayajua ila unajitoa ufahamu kidogo kuchangamsha genge
 
Back
Top Bottom