Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Zubimendi heads in at the back post! Arsenal 3-0 Nottingham Forest

1757781597275.gif
 
We've dodged a huge bullet. Huyu Sesko ni very average, physically not enough. Not even close to what we wanted.
 
Yule Gyokeres kama atapatiwa huduma stahiki uwanjani basi 20+ goals anafunga yule mwamba.

Ila kama tutaendeleza ujinga wakutokumpatia pasi za upendo basi ataonekana flop.
 
We've dodged a huge bullet. Huyu Sesko ni very average, physically not enough. Not even close to what we wanted.
It is not a player...it is the team....Manunu hata kama wangekuwa na Haaland bdo angeonekana flop....the team is rotten from the top to the core....ili watoke hapo walipo wanatakiwa waondokane kwanza na mentality ya kwmba sisi ni wakubwa...wakubali Hali halisi kwmba wao ni mid table team kwa sasa hii itapunguza presha kwa wachezaji....lakini pia wapate makocha sahihi na wawape mda ku implimate mawazo yao...mm nawashauri waachane na hyu Amorim wamchukue yule Babu Nuno na wampe mda na uhuru....they will be back....ila vngnevyo hakyanani tutabaki tunabishana na mashabiki wa Chelkenge na Livakuku hmu maana wao watakuwa Championship huko
 
Kuijadili muda mrefu Nyumbu ni kujidharirisha.

KIle ni kikundi cha wahuni sio timu ya mpira wa miguu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom