zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 22,754
- 36,281
Wengi ni mikopo hapo
Wengi ni mikopo hapo
Vipi ndugu zetu bado wanaamn Gyokeres ameflop.
Picha imepigwa na camera sio simuHiyo ndio simu sasa
Mbona kuna Shot on pixel hapo. Naona ni simu ila katumia pia kiooPicha imepigwa na camera sio simu
Ahaa, inawezekana kama ni hivyo.Mbona kuna Shot on pixel hapo. Naona ni simu ila katumia pia kioo
Ni camera, lakini simu hapo ipo kimatangazo zaidi, nahis pixel ni wadhamini piaMbona kuna Shot on pixel hapo. Naona ni simu ila katumia pia kioo
Hiyo imepigwa na kamera wameweka chapa ya mdhamini pixelHiyo ndio simu sasa
Ndio maana wanatapeliwqga hwataki kujiongezaNi camera, lakini simu hapo ipo kimatangazo zaidi, nahis pixel ni wadhamini pia
Picha imepigwa na camera sio simu
Some other fans mmejawa na hate.. sasa huo ujumbe wangu una ubaya gani, au ndio nyie kila ujumbe mnau perceive vibayaMimi nimesema hiyo simu aliyo ishika, acha utapia mlo.