Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Mkuuu imekuwaje tena mambo sio mazuri huko??hiyo mechi ngumu kwenu sema mjitahidi tu...
Mechi sio ngumu sie wenye tunapoteza nafasi za wazi nyingi.
Mkuuu imekuwaje tena mambo sio mazuri huko??hiyo mechi ngumu kwenu sema mjitahidi tu...
What a save by Tim Howard.....
Hivi ni kwa nini Emirates panakuwa pagumu sana kwetu msimu huu?Inabidi kulazimisha hapa goli, draw leo itakuwa noma.
Naona leo Rooney na Nani wako kwenye form ya ajabu aisee....Sis Trafford 4 tayari mpaka sasa....Hao mtawaotea tu hata kamoja..
Hivi ni kwa nini Emirates panakuwa pagumu sana kwetu msimu huu?
Tunaruhusu sana mashambulizi,kuna mviziaji Everton anaitwa Tim Cahill,anaweza kutuote huyuHii 2nd Half sio njema kabisa.... inabidi tustep up our game...........