Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Manone ndio hastaili kabisa kuvaa uzi wa arsenal..benayoun naye kachemsha! Scquilash sina cha kuongea!!
Sawa sawa mkuu nimekupata.
Manone ndio hastaili kabisa kuvaa uzi wa arsenal..benayoun naye kachemsha! Scquilash sina cha kuongea!!
Tegemeo la baadae.Chamber ni Soo.... Dogo KICHWA sana cha Soka..
bora yenu mshapita lakin mmeshindwa kutamba dhidi ya olympiacos kimbembe leo kwa chama langu..
Tulishawafunga hao Olympiakos Emirates chacha chida iko wapi? Tunaangalia kukuza vipaji baada ya kufahamu mpunga wa CL utakuja Emirates ... ... mtakutana nao kwenye Europa cup jaribuni bahati yenu ... .... .
Timu zote zinafungika mkuu.wewe acha tu bora ya city ilijua itatoka kuanzia ile gemu ya italy tuliopoteza lakini manure na wapa pole..
droo vipi mkikutana na baca mtapona kweli au real madrid..
Wikiend hii twamsubiri Everton na kama mjuavyo beki zote za kushoto(santos&gibbs) zimeumia na beki za kulia(sagna&jenkinson) hadithi ni ile ile.Mpango wa Wenger ni kama ifuatavyo;(Thomas vermaelen,left back)>(Johan djourou,right back)>(Per mertesacker&Laurent Koscienly,central backs)
Hata mimi nina hofu kama yako,ningekuwa mimi ndo wenger ningepanga kama ifuatavyo:left back~vermaelen,central backs(song&mertesacker),right back~koscienly halafu pale kati defensive midfield namtupia bwana mdogo Frimpong.hapo kwa Johan Djourou ndo nawacwac sana,nahic ndo itakuwa njia huko.