Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nadhani kwa mara ya kwanza tunaiona top 4 ndani ya sizon hii....tutamtandika nyingi tu huyu evaton....natabiri ars 3-eve-1
 
Nadhani kwa mara ya kwanza tunaiona top 4 ndani ya sizon hii....tutamtandika nyingi tu huyu evaton....natabiri ars 3-eve-1

Mkuu mambo siyo fresh oops mswano leo tuna Ho******rd We* ... ... ... ... ooops Hord We kinara wa Brown envelopes ooops bahasha ... .. chacha inategemea maboss wake wamemwambia vipi inabidi vijana wacheza mpira wa hali ya juu ... ... anyway my time is up ngoja niwahi kuwaona vijana.. ... ... ... . chi unajua kuna msiba mkubwa kule kwa Manure ... ... ...
 
Vijana leo inabidi wacheze kwa juhudi zote ili wacharibu cku ya leo kwani leo ndo wanafanya sherehe ya miaka 125 ya klabu tokea ianzishwe.
 
Szczesny, Djourou, Koscielny, Mertesacker, Vermaelen, Song, Arteta, Ramsey,Gervinho, Walcott, Van Persie

Hapo Djourou na Per wote wapo Slow.... Na Saha ana speed na Akili..... Obvious atakua keshajua pa kupitia..... Kati na mbele mwendo mdundo..........
 
wakuu habari zenyuu tukimpiga mtu tunakwea nafasi ya nne
 
What a PLAY by the SOLID ROCK MOUNTAIN Himself VERMINATOR!!!!! Swafi kabisa!!!!
 
Hilo toto Walcott halina confidence kabisa. Mtu kabaki na kipa anaenda kutoa pasi.



Chamberlain apewe namba yake hili atie akili.
 
Ndio ndio, nimechelewa, majukumu yalikua mengi, ila natumaini leo kuadhimisha miaka kadhaa ya chama, vijana watafanya kweli.

Anyway tutaonana half time na mwisho wa mchezo.

Arsenal, together we stand!
 
Sometimes UBAVU unalipa sana.... HIYO battle ya FELAINI na RAMSEY nimeipanda sana.... Yaani Ki RAMSEY full kuzidiwa...... Hahahahahahaaa
 
Wakuu inakuwaje hapa ndani??upande wa Manchester tuna mbili mkononi na nyinyi vipi wakuu.....
 
Sometimes UBAVU unalipa sana.... HIYO battle ya FELAINI na RAMSEY nimeipanda sana.... Yaani Ki RAMSEY full kuzidiwa...... Hahahahahahaaa
Kwa control na technics Ramsey anamfikia Fab na anaweza kuwa kamwacha. Tatizo la Ramsey ni umaliziaji tu..sijui ni lini atakuwa na jicho la goli na final ball.
 
Habari zenyu bhanaa......

Tuko pamoja sana wakuu......

Haya magoli tuliyokosa 1st half yanaumiza kweli.....Ilitakiwa mpaka dakika hii tuwe tushwapiga goli 4 kama sio 5 hawa jamaa
 
yaani inabidi wakirudi kipindi cha pili wajitahidi kwa hali na mali washinde ili ckukuu isiharibike.
 
Back
Top Bottom