Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hutamuona mpaka tufungwe.
Pia ni faraja sana kukuona huku mkuu, bwana Castr.
Eze sasa amewasili na kuna bwana mdogo wakuitwa Hincapié anakuja kusidia overloading ya Left Wing ili Eze awe anaingia kwa ndani. Aiseee...the league ain't ready...
Hincapie ni bonge la beki, aki zoea ligi basi tume maliza.
 
Yeah nilipata notification ya Eze kuja Emirates nikasema hapa tuna mtu. Tangu nianze kushabikia Arsenal ni mara ya kwanza naona tunapata kila mchezaji ambaye tulipeleka ofa.

Kuna kipindi tulihusishwa na Higuain mwisho wa dirisha tukaibuka na Yaya Sanogo. Hili dirisha linatia faraja kwamba watu wapo serious.
Kuna yule mpuuzi Chesko ngongoti alituzungusha miaka miwili halafu akaenda unyumbuni baada ya sisi kuchukua Jokeri. Nadhani na Jamie Gittens ameenda Chelkenge na Isak anataka kwenda LiVARKuku mpaka amegoma kufanya mazoezi kwa wale mijuisi ila kwa asilimia kubwa ulimwengu wa soka umekubali project yetu.
Hata Mosquera na Hincapie wanakuja japo wanajua tuna Saliba na Gabriel. Chesko eti aliogopa kuja kupambania namba na Havertz 😀
 
Kuna yule mpuuzi Chesko ngongoti alituzungusha miaka miwili halafu akaenda unyumbuni baada ya sisi kuchukua Jokeri. Nadhani na Jamie Gittens ameenda Chelkenge na Isak anataka kwenda LiVARKuku mpaka amegoma kufanya mazoezi kwa wale mijuisi ila kwa asilimia kubwa ulimwengu wa soka umekubali project yetu.
Hata Mosquera na Hincapie wanakuja japo wanajua tuna Saliba na Gabriel. Chesko eti aliogopa kuja kupambania namba na Havertz 😀
Haitwi chesko, yule ni dada sesi
 
Liverpunda wana good squad, Arsenal tuna killing squad


IMG-20250830-WA0031.jpg
 
Back
Top Bottom