Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,007
- 95,510
Mkuu si ulisema hauto rudi😂😂Hahaha yule jamaa wa Newcastle yupo?
Mkuu si ulisema hauto rudi😂😂Hahaha yule jamaa wa Newcastle yupo?
Hincapie ni bonge la beki, aki zoea ligi basi tume maliza.Hutamuona mpaka tufungwe.
Pia ni faraja sana kukuona huku mkuu, bwana Castr.
Eze sasa amewasili na kuna bwana mdogo wakuitwa Hincapié anakuja kusidia overloading ya Left Wing ili Eze awe anaingia kwa ndani. Aiseee...the league ain't ready...
Kuna yule mpuuzi Chesko ngongoti alituzungusha miaka miwili halafu akaenda unyumbuni baada ya sisi kuchukua Jokeri. Nadhani na Jamie Gittens ameenda Chelkenge na Isak anataka kwenda LiVARKuku mpaka amegoma kufanya mazoezi kwa wale mijuisi ila kwa asilimia kubwa ulimwengu wa soka umekubali project yetu.Yeah nilipata notification ya Eze kuja Emirates nikasema hapa tuna mtu. Tangu nianze kushabikia Arsenal ni mara ya kwanza naona tunapata kila mchezaji ambaye tulipeleka ofa.
Kuna kipindi tulihusishwa na Higuain mwisho wa dirisha tukaibuka na Yaya Sanogo. Hili dirisha linatia faraja kwamba watu wapo serious.
Haitwi chesko, yule ni dada sesiKuna yule mpuuzi Chesko ngongoti alituzungusha miaka miwili halafu akaenda unyumbuni baada ya sisi kuchukua Jokeri. Nadhani na Jamie Gittens ameenda Chelkenge na Isak anataka kwenda LiVARKuku mpaka amegoma kufanya mazoezi kwa wale mijuisi ila kwa asilimia kubwa ulimwengu wa soka umekubali project yetu.
Hata Mosquera na Hincapie wanakuja japo wanajua tuna Saliba na Gabriel. Chesko eti aliogopa kuja kupambania namba na Havertz 😀
Jiheshimu FazaaaaHaitwi chesko, yule ni dada sesi
😀😀😀😀😀 hilo tutamuita akituudhi sana. Mfano akishindwa kuifunga LiVARkuku na Chelkenge game iishe 1-1.Haitwi chesko, yule ni dada sesi
Nimemuona YouTube tu ila naona ni mtu na nusu yule. Atawaweka kina Calafiori benchi.Hincapie ni bonge la beki, aki zoea ligi basi tume maliza.
oya nawe ni team nyumbu?, basi mpe hi dada sesii wa ikunguJiheshimu Fazaaaa
Sawa fazaaaaaoya nawe ni team nyumbu?, basi mpe hi dada sesii wa ikungu
Unataka kulia?Mkuu si ulisema hauto rudi😂😂
Mnamtafitia lawama tu,Nyie uwezo wa kuwafunga mnao?😀😀😀😀😀 hilo tutamuita akituudhi sana. Mfano akishindwa kuifunga LiVARkuku na Chelkenge game iishe 1-1.
Saa zingine wakiwafunga wengine inatosha.Mnamtafitia lawama tu,Nyie uwezo wa kuwafunga mnao?
Possibly this, akitwist kidogo basi Merino #10 then Eze kwa Martinelli, Martinelli ashindwe na hii maana wao RB hakuna mtu, akianza EZE LW basi upande wa kulia kwao ndio njia hiyo
Kipindi cha pili Angie trosard, kumalizia chenchi iliyo baki.
Ata dowman ana penalt yakeKipindi cha pili Angie trosard, kumalizia chenchi iliyo baki.
Ila ata piga gyokeres, kama ali acha demu, hawezi acha penalty 😂😅Ata dowman ana penalt yake
Yalla liveHiv site za kucheki game za epl bila miyeyusho nj zipi wadau