mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,701
- 19,552
[emoji2]Aiseee.....
[emoji2]Aiseee.....
kapteni amekuwa bora within these 2 games, bado assist na magoli, mambo mengine yapo right. Arteta bado anampa role ya buildup instead alitakiwa kufocus na final pass sababu gyokeres yupo mbele, labda sababu zubimendi hajatumika vizuri kwa kasi i mean pnp ya ligiNaona watu wanamuongelea negatively Captain. Kwa upande wangu alikuwa ndiyo man of the match kabla hajaumia. Hata mechi na manyumbu alicheza vizuri sana.
Siyo kila pasi unapiga tu, wakati mwingine unaangalia na unayempa pasi atakuwa kwenye mazingira gani baada ya kuupata mpira. We unaona anachelewesha mwenzako kichwani anaona pasi inatakiwa ipite pale ili ilete madhara.
Mbona hamuongelei jinsi Odergard alivyo kuwa faster kushoot anapopata chance, hasubirisubiri??
Andrea Berta akiamua game na Liverpool atakuwepo kwenye starting 11Hiv rodrygo anaweza kuja kweli?
Martinel. .Gyokeres. maduekeKutokana na injuries za Saka na Ø, pale Anfield tuanze na hii
Eze, gyokeres, Madueke (wapya wote)
Merino, Rice, Zubimendi
how do you feel abt this?
Martineli! Seriously?Martinel. .Gyokeres. madueke
.
Zubimendi. Eze. Rice
.
.Calafiori. Gabi. Saliba. Timber
.
. Raya
Martinel ndio game zake hizoMartineli! Seriously?
[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hata kama hajafunga tokea ligi imeanza sasa ndio mumuite Mobutu Seseseko kweli?
Ina maana majina mazuri yote hamjayaona mpaka mumuite hivyo mwenzenu? View attachment 3451666
Huyu ana itwa dada sesi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hata kama hajafunga tokea ligi imeanza sasa ndio mumuite Mobutu Seseseko kweli?
Ina maana majina mazuri yote hamjayaona mpaka mumuite hivyo mwenzenu? View attachment 3451666
Hili jina ndo linamfaa zaidi 😂Huyu ana itwa dada sesi
Calafiori atasumbuliwa na mbio za Salah. Lewis-Skelly angefaa zaidi ila bado hajatoka kwenye mood ya likizo.Martinel. .Gyokeres. madueke
.
Zubimendi. Eze. Rice
.
.Calafiori. Gabi. Saliba. Timber
.
. Raya
I was thinking the same. Cala ana ukabaji wa kushika, pia anatumia nguvu zaidi kupita kiasi.Calafiori atasumbuliwa na mbio za Salah. Lewis-Skelly angefaa zaidi ila bado hajatoka kwenye mood ya likizo.
Bora mwamba arudi asaidiane na Gyok. Kisha tupunguze dead woods.. the likes of Fabio, Nelson, Sambi, Kiwior should go. And i hate to say that Zinny should go too japo namkubali sana ila itakua sio nzuri kwake maana hatopata game time anayotaka.Jesus huko X
2241, Aug 24
"It’s been seven months of pain, uncertainty, and anxiety. Today, I finally feel light — like a child playing football again.
GOD IS GREAT. [emoji1431][emoji1491]"
skelly kuwa inverted fullback imekuwa na athari hasi zaidi kwa timu hasa inapopoteza mpira ,kasi hana ya kurudi kwenye eneo lake na pia wkt mwingine anajisahau mno yupo eneo gani uwanjani ,atafaa zaidi endapo haya mambo ya ku invert asipewe yeye.I was thinking the same. Cala ana ukabaji wa kushika, pia anatumia nguvu zaidi kupita kiasi.
Naona Skelly atafaa zaidi maana aliwamudu vizuri PSG na zile winga zao sumbufu.. pia Skelly yuko comfortable zaidi akiwa na mpira, na ni ball carrier mzuri kwenye 3-2-5 transition.
Nimeangalia Maturity, binafsi nampa calafiori kuanzaCalafiori atasumbuliwa na mbio za Salah. Lewis-Skelly angefaa zaidi ila bado hajatoka kwenye mood ya likizo.