Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Eze amesikia kilio chenu ndugu zangu....yule Odegaard akae nje kidogo...Captain unakuwa bishoo sana kama nn sijui.....
Msichokijua huyo Mmasai wenu Eberechi Kili Paul Eze ni black version ya Jack Grealish.
Jipeni false hope za kutosha lakini baadae hatutaki kuwasikia mnamtukana huyo muimba kuchikuchi wenu.
images-39.jpg
images-40.jpg
images-41.jpg
 
Naona watu wanamuongelea negatively Captain. Kwa upande wangu alikuwa ndiyo man of the match kabla hajaumia. Hata mechi na manyumbu alicheza vizuri sana.

Siyo kila pasi unapiga tu, wakati mwingine unaangalia na unayempa pasi atakuwa kwenye mazingira gani baada ya kuupata mpira. We unaona anachelewesha mwenzako kichwani anaona pasi inatakiwa ipite pale ili ilete madhara.

Mbona hamuongelei jinsi Odergard alivyo kuwa faster kushoot anapopata chance, hasubirisubiri??
 
Naona watu wanamuongelea negatively Captain. Kwa upande wangu alikuwa ndiyo man of the match kabla hajaumia. Hata mechi na manyumbu alicheza vizuri sana.

Siyo kila pasi unapiga tu, wakati mwingine unaangalia na unayempa pasi atakuwa kwenye mazingira gani baada ya kuupata mpira. We unaona anachelewesha mwenzako kichwani anaona pasi inatakiwa ipite pale ili ilete madhara.

Mbona hamuongelei jinsi Odergard alivyo kuwa faster kushoot anapopata chance, hasubirisubiri??
kapteni amekuwa bora within these 2 games, bado assist na magoli, mambo mengine yapo right. Arteta bado anampa role ya buildup instead alitakiwa kufocus na final pass sababu gyokeres yupo mbele, labda sababu zubimendi hajatumika vizuri kwa kasi i mean pnp ya ligi
 
Tumekuwa na majeruhi paka tushazoea, kiasi kwamba hatuogopi kitu

Uefa tumecheza na ST Merino, Gabriel kitasa alikosa dhidi ya madrid & psg, hii ndio sababu sina hofu na majeruhi msimu huu

paka sasa tuna Jesus, havertz, white, saka na Ø kwenye ward ya wagonjwa

Dhidi ya liverpool tutacheza anyhow na sioni tukifungwa, wamejitahidi sn draw
 
Huyu ana itwa dada sesi
Hili jina ndo linamfaa zaidi 😂

Btw sesko ni mid player. Na nafurahi tulimpotezea tukaenda kwa option nyengine maana huo muda wa kumvumilia mtu mpka kudeliver, no excuse but kwa sasa hatuna. Tushavuka hizo phase.. this time tumefocus na matokeo zaidi.

Hayo mambo ya project tumewaachia rasmi Man U.
 
Calafiori atasumbuliwa na mbio za Salah. Lewis-Skelly angefaa zaidi ila bado hajatoka kwenye mood ya likizo.
I was thinking the same. Cala ana ukabaji wa kushika, pia anatumia nguvu zaidi kupita kiasi.
Naona Skelly atafaa zaidi maana aliwamudu vizuri PSG na zile winga zao sumbufu.. pia Skelly yuko comfortable zaidi akiwa na mpira, na ni ball carrier mzuri kwenye 3-2-5 transition.
 
Back
Top Bottom