Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yaani nyie makondoo kila msimu lazima hii njia muipitie, alishasifiwa Jesus, Zechenko, Patei,akaja mchele, kabla msimu haujaanza amesifiwa Gyokere weeee
Huyo Gyokere mechi ya kwanza tu Mimavi mitupu. now mpo kwa Eze, mwisho wa msimu mnatoka kama kijibwa kilichokunjia mkia kwa ndani.
 
Yaani nyie makondoo kila msimu lazima hii njia muipitie, alishasifiwa Jesus, Zechenko, Patei,akaja mchele, kabla msimu haujaanza amesifiwa Gyokere weeee
Huyo Gyokere mechi ya kwanza tu Mimavi mitupu. now mpo kwa Eze, mwisho wa msimu mnatoka kama kijibwa kilichokunjia mkia kwa ndani.
Tulia wewe tuwaoneshe
 
Yaani nyie makondoo kila msimu lazima hii njia muipitie, alishasifiwa Jesus, Zechenko, Patei,akaja mchele, kabla msimu haujaanza amesifiwa Gyokere weeee
Huyo Gyokere mechi ya kwanza tu Mimavi mitupu. now mpo kwa Eze, mwisho wa msimu mnatoka kama kijibwa kilichokunjia mkia kwa ndani.
Bwabwaja uwezavyo...siku tukikutana muwe kamili aisee....ni aibu msimu wa 50 huu Kila tukikutana tunawadunda😀😀
 
Namuangalia Cherki hapa wa Man City....aisee hyu mjinga asipobadilika hii ligi ataona ngumu....mambo ya matobo na kanzu ayaache kule Ufaransa....huku Uingereza ni kata funua piga mbele....ubishoo hakuna huku
Ana mwili mkubwa anaonekana kama kibonge, pia nadhani apokelee pasi wide maana ana skills na mzuri 1v1 anavyopokelea mali na kucheza karibu na boksi naona kama anajichelewesha
 
Max Dowman is with the Arsenal first team squad for the game
Natamani sana huyo dogo apewe dakika game ya leo:
Game haina pressure
Tupo nyumbani
Leeds ni more than underdog to us

Base on those facts, Max hii game anaimudu
 
Sema mwamba anapitia mateso makali sana mpaka suruali zake siku hizi hazimtoshi tena, ukiangalia vizuri mkanda wa Guardiola utaelewa namaanisha nini.
Kipara anaingia mpaka na rozari uwanjani lakini bado watu hata hawamuonei huruma wanamtia tu makonzi ya utosi.
1755957206735.jpg
 
Sema mwamba anapitia mateso makali sana mpaka suruali zake siku hizi hazimtoshi tena, ukiangalia vizuri mkanda wa Guardiola utaelewa namaanisha nini.
Kipara anaingia mpaka na rozari uwanjani lakini bado watu hata hawamuonei huruma wanamtia makonzi palepale utosini. View attachment 3450233
Huyu jamaa amemtesa sana Klopp acha na yeye ateseke.
 
Back
Top Bottom