arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,357
- 4,402
Namuangalia Cherki hapa wa Man City....aisee hyu mjinga asipobadilika hii ligi ataona ngumu....mambo ya matobo na kanzu ayaache kule Ufaransa....huku Uingereza ni kata funua piga mbele....ubishoo hakuna huku