arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Benjamin muhuni White anarudi wiki hii...kule kulia acheze yy halafu kushoto acheze Timber Huwa anacheza ule upande....kule yule Salah akakutane na kile kigingi....Calafiori hii mechi akae nje....huo ugomvi haumuhusu.....Kuna gemu pale Emirates Tomiyasu aliwahi kuchezeshwa kule kushoto akawa anatembea na Salah yule mjinga hakufukuta...Arteta anatakiwa arudie hili sualaCalafiori atasumbuliwa na mbio za Salah. Lewis-Skelly angefaa zaidi ila bado hajatoka kwenye mood ya likizo.

