Kuna rhythm tumeipoteza, japo game ya kwanza na man u tulikuwa hovyo zaidi, hii kipindi cha kwanza tukawa hovyo cha pili kwa mbaali tuwa arsenal, lakini chama hili bado..
Huyu ZUBIMENDI atulize akili, hajakaa sawa.
Odegaard ni kiazi, anaforce sana kukaa na mali, kibaya zaidi yule mtoto nwanweri nae anaiga ujinga ule ule..
Kuna sehemu kadhaa gyokeres alikuwa anatengeneza mikimbio na wao hawapasii wanaung'ang'ania mpira bila sababu za msingi..
Tumjaribu na eze tuone ataongeza nini, ila bado hatujawa vizuri.