Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Kituo kinachofuata ni Liverpool
Nxt week tunakuja Anfield, anza kujiandaa kisaikolojia.Sijawai Kuona timu inabeba ubingwa kwa kutegemea set pieces
Oya flanunu mbona kimya, au lipeni hiiJokeri leo ndio MoM ukibisha huna akili.
Takwimu zinaonesha Jokeri amewapiga wachezaji wa Leeds vikumbo vingi kuliko idadi ya mipira aliyogusa. View attachment 3450449
Na ndio ameletwa kwa ajili ya hizo team dhaifu, maana zimetusumbua sana for the past 3 seasons. Hawa wanaojiita wakubwa tunajua namna ya kushughulika nao hata bila Gyokeres.Tunawaambiaga huyo Victor G usimpime kupitia farmer league huyo hat top 5 goal scorers hatokuwepo atabahatika kupitia penalty taker na team dhaifu basi
Oya flanunu mbona kimya, au lipeni hii
View attachment 3450463


Hongereni Arsenyau a.k.a wazee wa dozi, wazee wa hamsa hamsa, wazee wa kono la nyani. Gyokeres kafunga dunia nzima imefurahi.


Kesho dunia nzima tunaandamana kushinikiza Jokeri nae aingizwe kwenye list ya Ballon d'Or 2025.Malizana na Joelinton kwanza Jumatatu na yule Elanga....halafu tuje kuzungumza ya wiki ijayo....nyny hamtufungi....litapigwa Loki la rice..merino na Zubimendi pale kati hakuna kupita....Timber atatembea na Salah...Benny Blanco na Yule kinega wenu gakpo....Saka na Odegaard hatuwahitaji....wakae nje mwezi mzima....tubaki na hawa wahuniNEXT WEEK NEXT WEEK NEXT WEEK .
Eze amesikia kilio chenu ndugu zangu....yule Odegaard akae nje kidogo...Captain unakuwa bishoo sana kama nn sijui.....Ushangiliaji wa Gyokeres goli la kwanza na Ushangiliaji wa goli la pili alipofunga kwa penalty akaenda kutengeneza nywele kwenye Camera😀 ni kama dharau zenu alikuwa anazisikia. Anyway, jamaa ni vile hapati nafasi za wazi nyingi na bado pale Arsenal mbele hawajamuelewa vizuri kumtengenezea.. Ila penalty yake Inaonesha jamaa ana firepower mguuni.
Leo nilikuwa naangalia highlights za Martinelli nimekuja kugundua Arteta anamkosea yule mtoto...yule ni wa kucheza pale kati apokezane na gyokeres...kule pembeni ni kumuulia kipaji chake yule....naamini Arteta atamrudisha katiUshangiliaji wa Gyokeres goli la kwanza na Ushangiliaji wa goli la pili alipofunga kwa penalty akaenda kutengeneza nywele kwenye Camera😀 ni kama dharau zenu alikuwa anazisikia. Anyway, jamaa ni vile hapati nafasi za wazi nyingi na bado pale Arsenal mbele hawajamuelewa vizuri kumtengenezea.. Ila penalty yake Inaonesha jamaa ana firepower mguuni.
Kwahiyo kesho mkifa mnabaki kwenye zile nafasi zenuHongereni Arsenyau a.k.a wazee wa dozi, wazee wa hamsa hamsa, wazee wa kono la nyani.
Naona leo mtapata usingizi mzito sana baada ya Jokeri kuwafikisha kileleni. View attachment 3450470
Odergard anakaa sana na mpira.. Kuna muda unaona kabisa kuna free space ya kutoa pasi kuharakisha mashambulizi lakini anafanya turning zisizokuwa na maana... Kiukweli hayupo directly na anachelewesha mashambuliziEze amesikia kilio chenu ndugu zangu....yule Odegaard akae nje kidogo...Captain unakuwa bishoo sana kama nn sijui.....
Utatulia tu, ni kama kwenye mchezo wa Karata, ukilitoa lazima mtu ale tano
Achana na hiyo timu, utaumia sana roho.Wanashangiliaaaaaaa Qbababake Arsenyani walikuwa wanaumia kumbe
Sahihi kabisa.Odergard anakaa sana na mpira.. Kuna muda unaona kabisa kuna free space ya kutoa pasi kuharakisha mashambulizi lakini anafanya turning zisizokuwa na maana... Kiukweli hayupo directly na anachelewesha mashambulizi
Exactly, Martinelli kucheza katikati itamuondolea lawama sana kuliko pembeni.. Martinelli ana pace lakini hana skills 1vs1 kucheza kama winger. Wazee wakikaba njia hamna lolote.. Bora acheze kati kwasababu uwezo wa kushoot anaoLeo nilikuwa naangalia highlights za Martinelli nimekuja kugundua Arteta anamkosea yule mtoto...yule ni wa kucheza pale kati apokezane na gyokeres...kule pembeni ni kumuulia kipaji chake yule....naamini Arteta atamrudisha
Hamna mtu pale …mm nadhan ndo shabiki wa arsenal pekee nisiyemtaka captain wangu😂Odergard anakaa sana na mpira.. Kuna muda unaona kabisa kuna free space ya kutoa pasi kuharakisha mashambulizi lakini anafanya turning zisizokuwa na maana... Kiukweli hayupo directly na anachelewesha mashambulizi