Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jokeri leo ndio MoM ukibisha huna akili.
Takwimu zinaonesha Jokeri amewapiga wachezaji wa Leeds vikumbo vingi kuliko idadi ya mipira aliyogusa. View attachment 3450449
Oya flanunu mbona kimya, au lipeni hii
FB_IMG_17559741235637358.jpg
 
Tunawaambiaga huyo Victor G usimpime kupitia farmer league huyo hat top 5 goal scorers hatokuwepo atabahatika kupitia penalty taker na team dhaifu basi
Na ndio ameletwa kwa ajili ya hizo team dhaifu, maana zimetusumbua sana for the past 3 seasons. Hawa wanaojiita wakubwa tunajua namna ya kushughulika nao hata bila Gyokeres.

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
NEXT WEEK NEXT WEEK NEXT WEEK .
Malizana na Joelinton kwanza Jumatatu na yule Elanga....halafu tuje kuzungumza ya wiki ijayo....nyny hamtufungi....litapigwa Loki la rice..merino na Zubimendi pale kati hakuna kupita....Timber atatembea na Salah...Benny Blanco na Yule kinega wenu gakpo....Saka na Odegaard hatuwahitaji....wakae nje mwezi mzima....tubaki na hawa wahuni
 
Ushangiliaji wa Gyokeres goli la kwanza na Ushangiliaji wa goli la pili alipofunga kwa penalty akaenda kutengeneza nywele kwenye Camera😀 ni kama dharau zenu alikuwa anazisikia. Anyway, jamaa ni vile hapati nafasi za wazi nyingi na bado pale Arsenal mbele hawajamuelewa vizuri kumtengenezea.. Ila penalty yake Inaonesha jamaa ana firepower mguuni.
 
Ushangiliaji wa Gyokeres goli la kwanza na Ushangiliaji wa goli la pili alipofunga kwa penalty akaenda kutengeneza nywele kwenye Camera😀 ni kama dharau zenu alikuwa anazisikia. Anyway, jamaa ni vile hapati nafasi za wazi nyingi na bado pale Arsenal mbele hawajamuelewa vizuri kumtengenezea.. Ila penalty yake Inaonesha jamaa ana firepower mguuni.
Eze amesikia kilio chenu ndugu zangu....yule Odegaard akae nje kidogo...Captain unakuwa bishoo sana kama nn sijui.....
 
Ushangiliaji wa Gyokeres goli la kwanza na Ushangiliaji wa goli la pili alipofunga kwa penalty akaenda kutengeneza nywele kwenye Camera😀 ni kama dharau zenu alikuwa anazisikia. Anyway, jamaa ni vile hapati nafasi za wazi nyingi na bado pale Arsenal mbele hawajamuelewa vizuri kumtengenezea.. Ila penalty yake Inaonesha jamaa ana firepower mguuni.
Leo nilikuwa naangalia highlights za Martinelli nimekuja kugundua Arteta anamkosea yule mtoto...yule ni wa kucheza pale kati apokezane na gyokeres...kule pembeni ni kumuulia kipaji chake yule....naamini Arteta atamrudisha kati
 
Eze amesikia kilio chenu ndugu zangu....yule Odegaard akae nje kidogo...Captain unakuwa bishoo sana kama nn sijui.....
Odergard anakaa sana na mpira.. Kuna muda unaona kabisa kuna free space ya kutoa pasi kuharakisha mashambulizi lakini anafanya turning zisizokuwa na maana... Kiukweli hayupo directly na anachelewesha mashambulizi
 
Leo nilikuwa naangalia highlights za Martinelli nimekuja kugundua Arteta anamkosea yule mtoto...yule ni wa kucheza pale kati apokezane na gyokeres...kule pembeni ni kumuulia kipaji chake yule....naamini Arteta atamrudisha
Exactly, Martinelli kucheza katikati itamuondolea lawama sana kuliko pembeni.. Martinelli ana pace lakini hana skills 1vs1 kucheza kama winger. Wazee wakikaba njia hamna lolote.. Bora acheze kati kwasababu uwezo wa kushoot anao
 
Odergard anakaa sana na mpira.. Kuna muda unaona kabisa kuna free space ya kutoa pasi kuharakisha mashambulizi lakini anafanya turning zisizokuwa na maana... Kiukweli hayupo directly na anachelewesha mashambulizi
Hamna mtu pale …mm nadhan ndo shabiki wa arsenal pekee nisiyemtaka captain wangu😂
 
Back
Top Bottom