Absolutely, but Eze Is a goonerCould Spurs' interest in Eze help to speed up the deal?
Hiyo meme ipo wapi ?Muda sio mrefu kutakuwa na meme mpya ya phase 1 ya Thomas Frank ana kombe kubwa Ulaya dhidi ya phase 6 za arteta mshika nafasi ya pili king'ang'anizi 😂
Vipi iyo meme tayari unitumie?Muda sio mrefu kutakuwa na meme mpya ya phase 1 ya Thomas Frank ana kombe kubwa Ulaya dhidi ya phase 6 za arteta mshika nafasi ya pili king'ang'anizi 😂
Hiyo meme ipo wapi ?
Hii haiondoi kuwa nyie hapo London hamna kombe wakati wenzenu wana makombe 😂Vipi iyo meme tayari unitumie?
Tujifunze nn ? 🤣🤣🤣🤣🤣 yaan timu bado dk 5 wawe mabingwa .. wanapoteza alaf unasema tujifunzeWatu wa hii timu jifunzeni hata kutoka kwa spurs..
Ndo meme ya jana iyo kumbeHii haiondoi kuwa nyie hapo London hamna kombe wakati wenzenu wana makombe 😂
Anyway, kwa sasa tuendelee kutumia hizi
View attachment 3440802
View attachment 3440803
Ila kwa huu mwaka Tot ana Europa Nyie Mna kombe gani?Tujifunze nn ? 🤣🤣🤣🤣🤣 yaan timu bado dk 5 wawe mabingwa .. wanapoteza alaf unasema tujifunze
Always London is RED
Tot watatumia meme za chelsea mana wote wana makombe makubwa Ulaya, vp nyie mna kombe gani?Ndo meme ya jana iyo kumbe
Wakirudi unishtue🤣🤣🤣1 WCC Trophy = 50 (FA, Carabao, Community Shields) Trophies
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sema Chelsea mliwapa mbinu nzuri tu Spurs ila mkasahau kuwafundisha kushikilia bomba.Muda sio mrefu kutakuwa na meme mpya ya phase 1 ya Thomas Frank ana kombe kubwa Ulaya dhidi ya phase 6 za arteta mshika nafasi ya pili king'ang'anizi [emoji23]
Haya maneno yako yatakucost[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi nawakumbusha tu na wala sina lengo la kuwatisha, Benjamin Šeško yule ni Haaland mtupu, tena Šeško amemzidi Haaland kwenye kasi, dribble na shot power.
Haaland ni striker ambae mpe assist anakuhakikishia goal lakini Šeško yeye anakupatia vyote.
Šeško ana uwezo wa kutokea kati au pembeni, kiufupi unaweza kusema Šeško ni mchezaji wa kaliba ya kina Sergio Agüero, Fernando Torres yule wa Liverpool au Eden Hazard wa Chelkenge.
Sasa kwa ile mi assist ya kina Bruno, Cunha, Amad na Mount sioni pahala pa kukwepea hatrick hiyo siku ya jumapili.
View attachment 3439131
Hawakutumia mbinu yetu ndio maana wamefungwa sisi hatukupack bus kama wao sisi tulikuwa tuna press high ikafanya wasiwe wanaanzisha mashambulizi kuanzia nyuma ikapelekea wawe wanapiga mipira ambapo Sasa hiyo mipira tulikuwa tuna win sisi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sema Chelsea mliwapa mbinu nzuri tu Spurs ila mkasahau kuwafundisha kushikilia bomba.
Ila Thomas Frank nae kazingua sana kwa subs zake za kipumbavu, alivyomtoa Kudus na Palhinha na kuwaingiza Gray na Mathys Tel ndio akawapa nguvu Psg ya kuwapelekea moto vizuri.
Lionel Messi has 45 total trophies
- Real Madrid has 105 total trophies
- Barcelona has 103 total trophies
- Manchester United has 68 total trophies
- Liverpool has 68 total trophies
- Arsenal has 48 total trophies
- Chelsea has 36 total trophies.
kufunga sio shida, suala ni wewe utafungwa ngapiHakuna beki wa kuzuia Amad dialo, cunha, mbeumo, Bruno, sesko, hojlund, wasifunge dakika tisini