Hii siyo kuhusu uzuri au ubaya wa Madueke tushakua na wachezaji wabovu kuliko Madueke. Mustafi, Jenkinson et el.
Chelsea ni rival, na katika kuhakikisha anadhoofisha wapinzani wa karibu Chelsea amewahi kupora wachezaji kwa timu mbalimbali. Recent example kwa sisi ni alivyoteka deal la Mudryk. Chelsea went the lengths hadi kudhamini silaha ili kuhakikisha Mudryk haji Arsenal.
Fast forward mwaka mbele, Chelsea ina rundo la wachezaji na anapambana kuwapunguza. In less than 48 hours unapeleka ofa ya 55M kwa rival halafu unachukua na kipa, bailing them out of the mess which they happily got themselves into.
Am aware kwamba inawezekana kabisa Chelsea hajalipwa hii pesa kwa mara moja. Lakini how stupid are we? Why the *** would you bail them out every time? Watu wanadai Chelsea anamuuzia Arsenal rejects, kwa Madueke hapana. He is not that bad ila bending over kwa timu ambayo haijiulizi mara mbili kukumess up ni weakness.
Do it kwa Brentford, it's fine. They agreed to lose their important keeper with cheap arrangements na wanakupa kapteni wao.
Chelsea ni rival, na katika kuhakikisha anadhoofisha wapinzani wa karibu Chelsea amewahi kupora wachezaji kwa timu mbalimbali. Recent example kwa sisi ni alivyoteka deal la Mudryk. Chelsea went the lengths hadi kudhamini silaha ili kuhakikisha Mudryk haji Arsenal.
Fast forward mwaka mbele, Chelsea ina rundo la wachezaji na anapambana kuwapunguza. In less than 48 hours unapeleka ofa ya 55M kwa rival halafu unachukua na kipa, bailing them out of the mess which they happily got themselves into.
Am aware kwamba inawezekana kabisa Chelsea hajalipwa hii pesa kwa mara moja. Lakini how stupid are we? Why the *** would you bail them out every time? Watu wanadai Chelsea anamuuzia Arsenal rejects, kwa Madueke hapana. He is not that bad ila bending over kwa timu ambayo haijiulizi mara mbili kukumess up ni weakness.
Do it kwa Brentford, it's fine. They agreed to lose their important keeper with cheap arrangements na wanakupa kapteni wao.
️