Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sema Chelsea mliwapa mbinu nzuri tu Spurs ila mkasahau kuwafundisha kushikilia bomba.
Ila Thomas Frank nae kazingua sana kwa subs zake za kipumbavu, alivyomtoa Kudus na Palhinha na kuwaingiza Gray na Mathys Tel ndio akawapa nguvu Psg ya kuwapelekea moto vizuri.
Hawakutumia mbinu yetu ndio maana wamefungwa sisi hatukupack bus kama wao sisi tulikuwa tuna press high ikafanya wasiwe wanaanzisha mashambulizi kuanzia nyuma ikapelekea wawe wanapiga mipira ambapo Sasa hiyo mipira tulikuwa tuna win sisi
 
Kenge na nyumbu kwaio mmeona humu ndio sehemu ya kufanya mazungumzo yenu?

Sasa Nyumbu ntakupiga 3+ hili jukwaa utaliona kituo cha polisi
Kenge dawa yako ipo jikoni, mshukuru mpo mbali kwenye ratiba ya kukutana na sisi
Screenshot_20250809_190210_FotMob.jpg
 
False hopers mpo , season hii vipi ?? hii ndo phase ya makombe Au tusubiri nyingine?
Amsha amsha hamna kabisa wengine ndo kabisa wamekimbia jukwaa hili wapo kwenye jukwaa la dini 😅.
Naona usajili umefanyika haswa mnashindwa nini kutoa hela kwa eze pale atleast atawasaidia maana Kwenye swala la creativity naona mwanenu Odergard hawez kupiga pasi za mwisho zikamfikia baunsa gyokeres .

Msimu naona mapema sana mtashikana mashati si Castr si Henry sio mkorea na transfer mlianza kuongelea wakati wenzenu wanasherekea ubingwa
 
Kenge na nyumbu kwaio mmeona humu ndio sehemu ya kufanya mazungumzo yenu?

Sasa Nyumbu ntakupiga 3+ hili jukwaa utaliona kituo cha polisi
Kenge dawa yako ipo jikoni, mshukuru mpo mbali kwenye ratiba ya kukutana na sisi
View attachment 3441322
Ntaamini tunachukua PL pale tu tutapopata replacement ya huyu odegaard tunahitaji more aggressive AM na a real team leader…lakinj sioni hiko kitu kwake he is more a second option to me
 
False hopers mpo , season hii vipi ?? hii ndo phase ya makombe Au tusubiri nyingine?
Amsha amsha hamna kabisa wengine ndo kabisa wamekimbia jukwaa hili wapo kwenye jukwaa la dini .
Naona usajili umefanyika haswa mnashindwa nini kutoa hela kwa eze pale atleast atawasaidia maana Kwenye swala la creativity naona mwanenu Odergard hawez kupiga pasi za mwisho zikamfikia baunsa gyokeres .

Msimu naona mapema sana mtashikana mashati si Castr si Henry sio mkorea na transfer mlianza kuongelea wakati wenzenu wanasherekea ubingwa
Mambo vipi mkuu, siku hizi naona unapotea sana humu jukwaani.
Wewe ndio mfariji wao usipoonekana humu vijana wanakua wanyonge sana.
Habari mbaya ya kusikitisha ni tokea usajili wa Madueke ndugu yetu Castr amesusa na kulikimbia hili jukwaa.
 
Mambo vipi mkuu, siku hizi naona unapotea sana humu jukwaani.
Wewe ndio mfariji wao usipoonekana humu vijana wanakua wanyonge sana.
Habari mbaya ya kusikitisha ni tokea usajili wa Madueke ndugu yetu Castr amesusa na kulikimbia hili jukwaa.
😂😂😂 castr katupa taulo kaingia mitini nilikua napitiapitia nikaona , nimeumia sana sana.
Sababu za kuingia mitini eti kisa madueke winga hatari kabisa mwenye world club medal ametua pale emirates , jamaa amechoka false hopes anamuangushia madueke lawama. False hopes fc pale wamekuja kina squilaci, lukonga na Marquinhos hajaondoka leo madueke kaingia na yeye kaingia mitini😂😂
 
castr katupa taulo kaingia mitini nilikua napitiapitia nikaona , nimeumia sana sana.
Sababu za kuingia mitini eti kisa madueke winga hatari kabisa mwenye world club medal ametua pale emirates , jamaa amechoka false hopes anamuangushia madueke lawama. False hopes fc pale wamekuja kina squilaci, lukonga na Marquinhos hajaondoka leo madueke kaingia na yeye kaingia mitini
Sema tokea msimu ulioisha walipofanya sajili za Kai Harvez na Rahim Sterling Castr alikua anajikaza tu kushabikia hiki kikundi cha baikoko, zile false hope za msimu huu huenda tunachukua ndio zilimfanya walau aendelee kubaki akijipa matumaini, ila baada ya kuona sajili za msimu huu pia ni zilezile reject za Chelkenge kina Kepa Arrizabalaga na Noni Madueke mwamba akajikatia tamaa mazima na kuamua kutupa taulo chini.
1755259369876.jpg
 
Sema tokea msimu ulioisha walipofanya sajili za Kai Harvez na Rahim Sterling Castr alikua anajikaza tu kushabikia hiki kikundi cha baikoko, zile false hope za msimu huu huenda tunachukua ndio zilimfanya walau aendelee kubaki akijipa matumaini, ila baada ya kuona sajili za msimu huu ni zilezile reject za Chelkenge kina Kepa Arrizabalaga na Noni Madueke mwamba akajikatia tamaa mazima na kuamua kutupa taulo chini. View attachment 3442189
Nimejiandaa kukata rufaa castr arudi humu , sijakubaliana na sababu zake zisizo na mashiko za kuingia mitini msako utafanyika pori kwa pori thread kwa thread kumpata false hoper huyu.

Naona yule mwingine hamis amefuata ushauri wako kaamua kufungua kanisa yupo kwenye thread za dini na israel , Naomba kanisa likiwa kubwa akuweke kama mhasibu maana ushauri ulitoka kwako.
 
Nimejiandaa kukata rufaa castr arudi humu , sijakubaliana na sababu zake zisizo na mashiko za kuingia mitini msako utafanyika pori kwa pori thread kwa thread kumpata false hoper huyu.

Naona yule mwingine hamis amefuata ushauri wako kaamua kufungua kanisa yupo kwenye thread za dini na israel , Naomba kanisa likiwa kubwa akuweke kama mhasibu maana ushauri ulitoka kwako.
Masingeli sasa hivi ni next level, yuko deep sana katika kuusoma na kuuchimba uislam ili apate points za kukusanyia sadaka pale asimamapo madhabahuni.
Nakuhakikishia hamis77 baada ya miaka yake miwili tu ya utumishi anaingia kwenye list ya mabilionea wakubwa hapa nchini, kwa sasa mwamba anatumia nguvu zake zote kuhakikisha anaagana na umasikini.
1755261775839.jpg
 
False hopers mpo , season hii vipi ?? hii ndo phase ya makombe Au tusubiri nyingine?
Amsha amsha hamna kabisa wengine ndo kabisa wamekimbia jukwaa hili wapo kwenye jukwaa la dini 😅.
Naona usajili umefanyika haswa mnashindwa nini kutoa hela kwa eze pale atleast atawasaidia maana Kwenye swala la creativity naona mwanenu Odergard hawez kupiga pasi za mwisho zikamfikia baunsa gyokeres .

Msimu naona mapema sana mtashikana mashati si Castr si Henry sio mkorea na transfer mlianza kuongelea wakati wenzenu wanasherekea ubingwa
Wewe kule kwenu vipi? Kila mnaeyemtaka anawatolea nje na Isak ndiyo huyo nae ameamua kwenda Liverpool angalau achezee timu kubwa kabla ya kustaafu soka.

Sisi tuko vizuri tu, japo tunazingua kinoma. Eti hatutaki kulipa hela ya Eze na tunajipa moyo kuwa eti tuna Nwaneri. Madueke kamkimbiza Castr siyo tu jukwaani hapa, bali kwenye ushabiki wa mpira kwa ujumla kabisa. Sijawahi kuona uamuzi mbovu kama huu lakini najua, muda si mrefu, Madueke huyo huyo atamrudisha mwamba jukwaani.

Ila nyie kikundi cha vurugu mijusi milia sijui msimu huu mtakuwa na hali gani. Natabiri vilio na kusaga meno tu kwenu.
 
Wewe kule kwenu vipi? Kila mnaeyemtaka anawatolea nje na Isak ndiyo huyo nae ameamua kwenda Liverpool angalau achezee timu kubwa kabla ya kustaafu soka.

Sisi tuko vizuri tu, japo tunazingua kinoma. Eti hatutaki kulipa hela ya Eze na tunajipa moyo kuwa eti tuna Nwaneri. Madueke kamkimbiza Castr siyo tu jukwaani hapa, bali kwenye ushabiki wa mpira kwa ujumla kabisa. Sijawahi kuona uamuzi mbovu kama huu lakini najua, muda si mrefu, Madueke huyo huyo atamrudisha mwamba jukwaani.

Ila nyie kikundi cha vurugu mijusi milia sijui msimu huu mtakuwa na hali gani. Natabiri vilio na kusaga meno tu kwenu.
Ila mwanangu Henry wewe una imani sana, kwa imani yako hio jinsi ilivyo madhubuti nakuhakikishia tunaweza kukupa jiwe ukaligeuza kua mkate.
1755264604023.jpg
 
Jitu la futi 6.5 likiwa kwenye mazoezi ya set pcs kwa ajili ya mechi ya jumapili.
1755269760772.jpg
1755270332186.jpg
 
Back
Top Bottom