Wewe kule kwenu vipi? Kila mnaeyemtaka anawatolea nje na Isak ndiyo huyo nae ameamua kwenda Liverpool angalau achezee timu kubwa kabla ya kustaafu soka.
Sisi tuko vizuri tu, japo tunazingua kinoma. Eti hatutaki kulipa hela ya Eze na tunajipa moyo kuwa eti tuna Nwaneri. Madueke kamkimbiza
Castr siyo tu jukwaani hapa, bali kwenye ushabiki wa mpira kwa ujumla kabisa. Sijawahi kuona uamuzi mbovu kama huu lakini najua, muda si mrefu, Madueke huyo huyo atamrudisha mwamba jukwaani.
Ila nyie kikundi cha vurugu mijusi milia sijui msimu huu mtakuwa na hali gani. Natabiri vilio na kusaga meno tu kwenu.