Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Air-sesko
 

Attachments

  • IMG_20250811_132923_023.jpg
    IMG_20250811_132923_023.jpg
    275.4 KB · Views: 8
Inasemekana Saliba yuko mbioni kusaini mkataba mpya na sisi.

Kwa upande wa wachezaji muhimu kununuliwa na kushawishi tulio nao kuongeza mikataba (akina Gabriel, Lewis-Skelly...) tumefanya vizuri tu dirisha hili.

Kazi ipo kwenye kupata timu za kuwachukua wale tusiowahitaji (Sambi Lokonga, Vieira, Zinny...).
 
Usiku wa deni haukawii, Manyumbu wajue tu hiyo J2 tunafinya yani piga km mbwaa, si mlimvalisha hadi jezi
IMG_20250711_213938.jpg
 
Wanangu mbona mikwara imepungua au bado hamjapiga mswaki. Flano, HENRY14, mkorea, King faisal, Will Jr, Bagabeach, Castr leteni tambo na majigambo. huku Chesko kule Nyokores.
Kuna yule ngongoti wa Psg Donnarumma wiki ya pili sasa kagoma kula anataka asajiliwe Manchester, naona kamati ya usajili kwa sasa nguvu nyingi wanazielekeza kwanza kwa Baleba, wakishakamilisha dili la Baleba goli kipa la mikono 100 linatua Trafford.
Hawa Kokores Fc washukuru sana tunacheza nao kabla ya hio miamba miwili haijatua Utd la sivyo tungewapeleka tena honeymoon ya goli 8 nyingine.
1450071577.jpg
 
Kuna yule ngongoti wa Psg Donnarumma wiki ya pili sasa kagoma kula anataka asajiliwe Manchester, naona kamati ya usajili kwa sasa nguvu nyingi wanazielekeza kwanza kwa Baleba, wakishakamilisha dili la Baleba goli kipa la mikono 100 linatua Trafford.
Hawa Kokores Fc washukuru sana tunacheza nao kabla ya hio miamba miwili haijatua Utd la sivyo tungewapeleka tena honeymoon ya goli 8 nyingine. View attachment 3438915
Nyumbuz Endeleeni kujitoa ufaham
Ushindi wenu kwa sasa ni draw tu, tena muitafute kweli kweli
Screenshot_20250812_111004_FotMob.jpg
 
Nyumbuz Endeleeni kujitoa ufaham
Ushindi wenu kwa sasa ni draw tu, tena muitafute kweli kweli View attachment 3438935
Mimi nawakumbusha tu na wala sina lengo la kuwatisha, Benjamin Šeško yule ni Haaland mtupu, tena Šeško amemzidi Haaland kwenye kasi, dribble na shot power.
Haaland ni striker ambae mpe assist anakuhakikishia goal lakini Šeško yeye anakupatia vyote.
Šeško ana uwezo wa kutokea kati au pembeni, kiufupi unaweza kusema Šeško ni mchezaji wa kaliba ya kina Sergio Agüero, Fernando Torres yule wa Liverpool au Eden Hazard wa Chelkenge.
Sasa kwa ile mi assist ya kina Bruno, Cunha, Amad na Mount sioni pahala pa kukwepea hatrick hiyo siku ya jumapili.
1754484403373.jpg
 
Mimi nawakumbusha tu na wala sina lengo la kuwatisha, Benjamin Šeško yule ni Haaland mtupu, tena Šeško amemzidi Haaland kwenye kasi, dribble na shoot power.
Haaland ni striker ambae mpe assist anakuhakikishia goal lakini Šeško yeye anakupatia vyote.
Šeško ana uwezo wa kutokea pembeni na kati, kiufupi unaweza kusema Šeško ni mchezaji wa kaliba ya kina Sergio Agüero, Fernando Torres yule wa Liverpool au Eden Hazard wa Chelkenge.
Sasa kwa ile mi assist ya kina Bruno, Cunha, Amad na Mount sioni pahala pa kukwepea hatrick hiyo siku ya jumapili.
View attachment 3439131
Hii risiti nimeitunza
 
Kuna yule ngongoti wa Psg Donnarumma wiki ya pili sasa kagoma kula anataka asajiliwe Manchester, naona kamati ya usajili kwa sasa nguvu nyingi wanazielekeza kwanza kwa Baleba, wakishakamilisha dili la Baleba goli kipa la mikono 100 linatua Trafford.
Hawa Kokores Fc washukuru sana tunacheza nao kabla ya hio miamba miwili haijatua Utd la sivyo tungewapeleka tena honeymoon ya goli 8 nyingine. View attachment 3438915
Afu hawataki sasa, nyie kusajili mchezaji yoyote yani paka mtoe million 150 na paundi laki 4 ndio mchezaji akubali, sisi Gyokeres bei yake ndogo kuliko hoilundi na nzikeze, Zubimendi bei yake ndogo kuliko ugate, ahaaha! we have the pull bro, mmechoka km mbwa koko
 
Back
Top Bottom