mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,225
Narudia tena msipo jitahidi kupata magoli ya kona kwa vichwa vya akina Gabriel. Basi mjue mtadhalilika sana siku hiyo.



Narudia tena msipo jitahidi kupata magoli ya kona kwa vichwa vya akina Gabriel. Basi mjue mtadhalilika sana siku hiyo.



We jamaa mkuda sana😂😂Arsenyeto wazee wa nafasi ya 2
Ukiona shabiki wa Arsenyeto mnene ujue shangingi huyo
Man u nayo ni timu ya kuiwaza! Mechi ya Man U nishajiwekeaga nimefeli sana draw, hata aanze Lokonga na max dowman na Ethan NwaneriTuliza mshono kuhusu hizo mbwiga dada yako na mkeo hazisaidii chochote kwenu nyie arsenal netflix. lazima tuwa shenyente, mpaka mseme kwanini bata huwa ana harisha maisha yake yote.
hapa wameisha, zikipungua sana 4Hiki ndio kikosi ambacho kitaanza kumpelekea moto nyumbu
View attachment 3436930


Kuna yule ngongoti wa Psg Donnarumma wiki ya pili sasa kagoma kula anataka asajiliwe Manchester, naona kamati ya usajili kwa sasa nguvu nyingi wanazielekeza kwanza kwa Baleba, wakishakamilisha dili la Baleba goli kipa la mikono 100 linatua Trafford.Nyumbuz Endeleeni kujitoa ufahamKuna yule ngongoti wa Psg Donnarumma wiki ya pili sasa kagoma kula anataka asajiliwe Manchester, naona kamati ya usajili kwa sasa nguvu nyingi wanazielekeza kwanza kwa Baleba, wakishakamilisha dili la Baleba goli kipa la mikono 100 linatua Trafford.
Hawa Kokores Fc washukuru sana tunacheza nao kabla ya hio miamba miwili haijatua Utd la sivyo tungewapeleka tena honeymoon ya goli 8 nyingine. View attachment 3438915
Nyumbuz Endeleeni kujitoa ufaham
Ushindi wenu kwa sasa ni draw tu, tena muitafute kweli kweli View attachment 3438935


Mimi nawakumbusha tu na wala sina lengo la kuwatisha, Benjamin Šeško yule ni Haaland mtupu, tena Šeško amemzidi Haaland kwenye kasi, dribble na shot power.Hii risiti nimeitunzaMimi nawakumbusha tu na wala sina lengo la kuwatisha, Benjamin Šeško yule ni Haaland mtupu, tena Šeško amemzidi Haaland kwenye kasi, dribble na shoot power.
Haaland ni striker ambae mpe assist anakuhakikishia goal lakini Šeško yeye anakupatia vyote.
Šeško ana uwezo wa kutokea pembeni na kati, kiufupi unaweza kusema Šeško ni mchezaji wa kaliba ya kina Sergio Agüero, Fernando Torres yule wa Liverpool au Eden Hazard wa Chelkenge.
Sasa kwa ile mi assist ya kina Bruno, Cunha, Amad na Mount sioni pahala pa kukwepea hatrick hiyo siku ya jumapili.
View attachment 3439131
Tottenham watakuwa na Kudus na Eze pia..Because of Gyokeres
Onana is back in training
Liverpunda go for guehi
Manshit reform their attacking by selling grealish, savinho,... just to bring in rodrigo or somebody else
Chekenge said "liwalo na liwe, tumeshazoea kupigwa nao"
View attachment 3439374
who cares?View attachment 3438778
Kukumbushana ni muhimu, tumeumbwa kusahau...
Afu hawataki sasa, nyie kusajili mchezaji yoyote yani paka mtoe million 150 na paundi laki 4 ndio mchezaji akubali, sisi Gyokeres bei yake ndogo kuliko hoilundi na nzikeze, Zubimendi bei yake ndogo kuliko ugate, ahaaha! we have the pull bro, mmechoka km mbwa kokoKuna yule ngongoti wa Psg Donnarumma wiki ya pili sasa kagoma kula anataka asajiliwe Manchester, naona kamati ya usajili kwa sasa nguvu nyingi wanazielekeza kwanza kwa Baleba, wakishakamilisha dili la Baleba goli kipa la mikono 100 linatua Trafford.
Hawa Kokores Fc washukuru sana tunacheza nao kabla ya hio miamba miwili haijatua Utd la sivyo tungewapeleka tena honeymoon ya goli 8 nyingine. View attachment 3438915