mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,699
- 19,547
Man u nayo ni timu ya kuiwaza! Mechi ya Man U nishajiwekeaga nimefeli sana draw, hata aanze Lokonga na max dowman na Ethan NwaneriTuliza mshono kuhusu hizo mbwiga dada yako na mkeo hazisaidii chochote kwenu nyie arsenal netflix. lazima tuwa shenyente, mpaka mseme kwanini bata huwa ana harisha maisha yake yote.
hapa wameisha, zikipungua sana 4Hiki ndio kikosi ambacho kitaanza kumpelekea moto nyumbu
View attachment 3436930
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna yule ngongoti wa Psg Donnarumma wiki ya pili sasa kagoma kula anataka asajiliwe Manchester, naona kamati ya usajili kwa sasa nguvu nyingi wanazielekeza kwanza kwa Baleba, wakishakamilisha dili la Baleba goli kipa la mikono 100 linatua Trafford.
Nyumbuz Endeleeni kujitoa ufaham[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna yule ngongoti wa Psg Donnarumma wiki ya pili sasa kagoma kula anataka asajiliwe Manchester, naona kamati ya usajili kwa sasa nguvu nyingi wanazielekeza kwanza kwa Baleba, wakishakamilisha dili la Baleba goli kipa la mikono 100 linatua Trafford.
Hawa Kokores Fc washukuru sana tunacheza nao kabla ya hio miamba miwili haijatua Utd la sivyo tungewapeleka tena honeymoon ya goli 8 nyingine. View attachment 3438915
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi nawakumbusha tu na wala sina lengo la kuwatisha, Benjamin Šeško yule ni Haaland mtupu, tena Šeško amemzidi Haaland kwenye kasi, dribble na shot power.Nyumbuz Endeleeni kujitoa ufaham
Ushindi wenu kwa sasa ni draw tu, tena muitafute kweli kweli View attachment 3438935
Hii risiti nimeitunza[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi nawakumbusha tu na wala sina lengo la kuwatisha, Benjamin Šeško yule ni Haaland mtupu, tena Šeško amemzidi Haaland kwenye kasi, dribble na shoot power.
Haaland ni striker ambae mpe assist anakuhakikishia goal lakini Šeško yeye anakupatia vyote.
Šeško ana uwezo wa kutokea pembeni na kati, kiufupi unaweza kusema Šeško ni mchezaji wa kaliba ya kina Sergio Agüero, Fernando Torres yule wa Liverpool au Eden Hazard wa Chelkenge.
Sasa kwa ile mi assist ya kina Bruno, Cunha, Amad na Mount sioni pahala pa kukwepea hatrick hiyo siku ya jumapili.
View attachment 3439131
Tottenham watakuwa na Kudus na Eze pia..Because of Gyokeres
Onana is back in training
Liverpunda go for guehi
Manshit reform their attacking by selling grealish, savinho,... just to bring in rodrigo or somebody else
Chekenge said "liwalo na liwe, tumeshazoea kupigwa nao"
View attachment 3439374
who cares?View attachment 3438778
Kukumbushana ni muhimu, tumeumbwa kusahau...
Afu hawataki sasa, nyie kusajili mchezaji yoyote yani paka mtoe million 150 na paundi laki 4 ndio mchezaji akubali, sisi Gyokeres bei yake ndogo kuliko hoilundi na nzikeze, Zubimendi bei yake ndogo kuliko ugate, ahaaha! we have the pull bro, mmechoka km mbwa koko[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna yule ngongoti wa Psg Donnarumma wiki ya pili sasa kagoma kula anataka asajiliwe Manchester, naona kamati ya usajili kwa sasa nguvu nyingi wanazielekeza kwanza kwa Baleba, wakishakamilisha dili la Baleba goli kipa la mikono 100 linatua Trafford.
Hawa Kokores Fc washukuru sana tunacheza nao kabla ya hio miamba miwili haijatua Utd la sivyo tungewapeleka tena honeymoon ya goli 8 nyingine. View attachment 3438915
mosquera £18m, akija pale unyumbuni ni panga pangua, ila unakutana na yoro na magwaya combine ya manyumbu usajili wa million 200[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna yule ngongoti wa Psg Donnarumma wiki ya pili sasa kagoma kula anataka asajiliwe Manchester, naona kamati ya usajili kwa sasa nguvu nyingi wanazielekeza kwanza kwa Baleba, wakishakamilisha dili la Baleba goli kipa la mikono 100 linatua Trafford.
Hawa Kokores Fc washukuru sana tunacheza nao kabla ya hio miamba miwili haijatua Utd la sivyo tungewapeleka tena honeymoon ya goli 8 nyingine. View attachment 3438915
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tajiri na maskini siku zote matumizi yao hayawezi kua sawa, maskini ataenda kununua nyanya gengeni fungu la kilo 1 kwa shilingi 1000 halafu tajiri anaenda kununua nyanya hiohio supermarket kilo moja kwa shilingi 10,000/-mosquera £18m, akija pale unyumbuni ni panga pangua, ila unakutana na yoro na magwaya combine ya manyumbu usajili wa million 200
We jamaa wewe.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tajiri na maskini siku zote matumizi yao hayawezi kua sawa, maskini ataenda kununua nyanya gengeni fungu la kilo 1 kwa shilingi 1000 halafu tajiri anaenda kununua nyanya hiohio supermarket kilo moja kwa shilingi 10,000/-
Arsenyau kabla ya kutaka kufananisha matumizi yetu na yenu hebu jiulizeni kwanza, je mapato yenu na yetu yanafana?