kuna wachezaji wawili nawaona kabisa wanaenda kuwa memes mitandaoni. Ustadhi Mbeumo na Sesko hizo picha zake anapaa angani sijuiKokores 7, Isak 5 na Halland 3 ndio sawa na Air Jordan (Sesko) mmoja.
HENRY14 yaani kuwatisha kidogo tu ndio mnataka mskip mechi ya tarehe 17?
Acheni woga leteni tu timu uwanjani, tutawagonga goli zisizozidi 3 hivyo kuweni tu na amani. View attachment 3436972View attachment 3436973
