Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,240
- 21,033
Kwa urukaji huu angejikita kwenye netball mapema angekuwa mbali muda huu.Hio tarehe 17 ndio utaprove mwenyewe kua Sesko na Mbeumo wanaenda kua memes mitandaoni kama Kokores.
Kikubwa kwa kua nyie ni washkaji zangu nawasanua mapema kabisa muwe makini sana na set pieces, huyo Sesko urefu wake amelizidi goli kwa futi 1.8 halafu kuna Yoro na Alhaji Magwire.
View attachment 3437206

