Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kokores 7, Isak 5 na Halland 3 ndio sawa na Air Jordan (Sesko) mmoja.
HENRY14 yaani kuwatisha kidogo tu ndio mnataka mskip mechi ya tarehe 17?
Acheni woga leteni tu timu uwanjani, tutawagonga goli zisizozidi 3 hivyo kuweni tu na amani. View attachment 3436972View attachment 3436973
kuna wachezaji wawili nawaona kabisa wanaenda kuwa memes mitandaoni. Ustadhi Mbeumo na Sesko hizo picha zake anapaa angani sijui
 
kuna wachezaji wawili nawaona kabisa wanaenda kuwa memes mitandaoni. Ustadhi Mbeumo na Sesko hizo picha zake anapaa angani sijui
Hio tarehe 17 ndio utaprove mwenyewe kua Sesko na Mbeumo wanaenda kua memes mitandaoni kama Kokores.
Kikubwa kwa kua nyie ni washkaji zangu nawasanua mapema kabisa muwe makini sana na set pieces, huyo Sesko urefu wake amelizidi goli kwa futi 1.8 halafu kuna Yoro na Alhaji Magwire.
1754763206688.jpg
 
Hio tarehe 17 ndio utaprove mwenyewe kua Sesko na Mbeumo wanaenda kua memes mitandaoni kama Kokores.
Kikubwa kwa kua nyie ni washkaji zangu nawasanua mapema kabisa muwe makini sana na set pieces, huyo Sesko urefu wake amelizidi goli kwa futi 1.8 halafu kuna Yoro na Alhaji Magwire.
View attachment 3437206
Kwa urukaji huu angejikita kwenye netball mapema angekuwa mbali muda huu.
 
Kwa urukaji huu angejikita kwenye netball mapema angekuwa mbali muda huu.
Huyu mwamba sio football hata kwenye basketball yuko vizuri mno, kuna timu kubwa NBA ilikua inamtamka lakini amewakatilia, mara moja moja hua anashiriki michuano ya basketball kwenye timu ya taifa.
1754806958908.jpg
1754806934852.jpg
 
Hio tarehe 17 ndio utaprove mwenyewe kua Sesko na Mbeumo wanaenda kua memes mitandaoni kama Kokores.
Kikubwa kwa kua nyie ni washkaji zangu nawasanua mapema kabisa muwe makini sana na set pieces, huyo Sesko urefu wake amelizidi goli kwa futi 1.8 halafu kuna Yoro na Alhaji Magwire.
View attachment 3437206
duh! Flano unajua kumwaga sifa au una undugu na Dotto magari
 
HT: Arsenal 2-0 Athletic Club

The Arsenal have arrived for the 2025/26 campaign and so has Viktor Gyokeres!!!

Martin Zubimendi is also so so good.

Thoughts at the break?
 
Back
Top Bottom