Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hio tarehe 17 ndio utaprove mwenyewe kua Sesko na Mbeumo wanaenda kua memes mitandaoni kama Kokores.
Kikubwa kwa kua nyie ni washkaji zangu nawasanua mapema kabisa muwe makini sana na set pieces, huyo Sesko urefu wake amelizidi goli kwa futi 1.8 halafu kuna Yoro na Alhaji Magwire.
View attachment 3437206
duh! Flano unajua kumwaga sifa au una undugu na Dotto magari
 
duh! Flano unajua kumwaga sifa au una undugu na Dotto magari
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hawa wateja wenu lazima tuwatishe kidogo ili akili ziwakae sawa, wakati sisi tunasajili wachezaji wenyewe wanaenda kutapeliwa na Chelkenge kwa kuuziwa reject za kina Madueke na Kepa Arrizabalaga.
1754763236776.jpg
 
HT: Arsenal 2-0 Athletic Club

The Arsenal have arrived for the 2025/26 campaign and so has Viktor Gyokeres!!!

Martin Zubimendi is also so so good.

Thoughts at the break?
 
Inasemekana Saliba yuko mbioni kusaini mkataba mpya na sisi.

Kwa upande wa wachezaji muhimu kununuliwa na kushawishi tulio nao kuongeza mikataba (akina Gabriel, Lewis-Skelly...) tumefanya vizuri tu dirisha hili.

Kazi ipo kwenye kupata timu za kuwachukua wale tusiowahitaji (Sambi Lokonga, Vieira, Zinny...).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom