Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

mke wangu + dada zangu ni mashabiki wa manyumbu, nyie ni wake na dada zetu, Jpili tutawaonesha kazi hapohapo geto kwenu, geto la panya, a.k.a panya road
Tuliza mshono kuhusu hizo mbwiga dada yako na mkeo hazisaidii chochote kwenu nyie arsenal netflix. lazima tuwa shenyente, mpaka mseme kwanini bata huwa ana harisha maisha yake yote.
 
Sesko hajashusha mshahara. Amewapunguzia tu dau alilokuwa anataka. Yaani kama alitaka 200, mmembembeleza amekubali 150. Bado mtakuwa mnalipa zaidi ya 100 zaidi ya alichokokuwa anachukua Leipzig.
Sio mbaya kikubwa ni kwamba anaipenda manchester united ndio maana aliwakataa arsenal Netflix na newtako.
 
😂

20250809_143427.jpg
 
Hatimae baada ya mechi zake saba akiwa na Arsenyau leo Kokores amebahatisha kufunga goli la kwanza kwa kichwa (free header)
Arsenyau nawakumbusha tu tarehe 17 msipoleta timu uwanjani tutawafata hukohuko kwenu.
Old Trafford sasa hivi ni fire
1754758907226.jpg
 
Sijawahi kumuita Air Sesko ila jamaa ni hatari hewani.
Kokores 7, Isak 5 na Halland 3 ndio sawa na Air Jordan (Sesko) mmoja.
HENRY14 yaani kuwatisha kidogo tu ndio mnataka mskip mechi ya tarehe 17?
Acheni woga leteni tu timu uwanjani, tutawagonga goli zisizozidi 3 hivyo kuweni tu na amani.
1754763236776.jpg
1754763301092.jpg
 
Back
Top Bottom