Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Habari mbaya ni kwamba Sporting wamesema hawarudishi hela
 

Attachments

  • downloadfile-29.jpg
    downloadfile-29.jpg
    49.1 KB · Views: 8
Huyo Kokores tokea ametua Arsenyau ameshafanya kitu gani hasa cha maana mpaka ukajipa false hope ya kukupea 20+ goals?
Usichokijua huyo Kokores ni Højlund wa kuchemsha.
Mchezaji alietokea farmers league umtegemee Epl akupee 20+ goals kwa msimu wake wa kwanza ni kujilisha upepo na kutupatia sababu ya kuwacheka ifikapo mwisho wa msimu.View attachment 3434302
25 goals za G mabao kabla hatujafika mwezi wa tatu, tuombe uzima

Iweke vizuri hii risiti
 
Habari mbaya sana hii kwa Arsenyau, Tetea kiwigi tarehe 17 anaweza asilete timu uwanjani.
Kituo kinachofata tunaelekea Brighton kwenda kung'oa kisiki cha mpingo Carlos Baleba.
1754576372223.jpg
1754576657467.jpg
 
Kumbe Sesko aligoma mpaka kula ili tu asajiliwe kwenye timu la dunia,
Aiseeee Man Utd ni lidude flani hivi likuuuubwa sana, yaani mpaka world class players wanaomba mishahara yao ipunguzwe mradi tu wakachezee hii timu.

Wapenda kandanda barani ulaya hua wana kamsemo kao wanasema:

"If you haven't played for Manchester United then you're not a footballer."
1754636295415.jpg
 
Kumbe Sesko aligoma mpaka kula ili tu asajiliwe kwenye timu la dunia,
Aiseeee Man Utd ni lidude flani hivi likuuuubwa sana, yaani mpaka world class players wanaomba mishahara yao ipunguzwe mradi tu wakachezee hii timu.

Wapenda kandanda barani ulaya hua wana kamsemo kao wanasema:

"If you haven't played for Manchester United then you're not a footballer."View attachment 3435553
Mna penda kuji furahisha, subiri game ya kwanza ukanyagwe na wanaume
 
Humu ndani mkae mkijua mpaka saivi tumesha washenyenta bao 3+ akija baleba na kipa kama donnarumma mjue mnakufa 5+. HENRY14 .
mke wangu + dada zangu ni mashabiki wa manyumbu, nyie ni wake na dada zetu, Jpili tutawaonesha kazi hapohapo geto kwenu, geto la panya, a.k.a panya road
 
Back
Top Bottom