Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Screenshot_20250805-123635.png
 
Newcastle na United wanampambania Sesko sasa. Tuone yupi atafanikiwa kumpata.
Mimi naomba man u wampate Sesko ili aingie choo cha kike na Isak asiende Liverpool. Huyu sesko ni overrated player ni mchezaji asiye jiamini na ndio maana anachukua muda mrefu kufanya maamuzi pili kiwango chake ni cha kawaida na asiye na consistency performance atakupa moment nzuri mechi chache nyingi utamuona average
 
Sesko ata akiwa barcelona au man city hana uwezo wa kukupa goals 20+

Sesko ni average player with amazing moments

Huu msimu 25/26 Gyökeres ataweka goals 25+ kwenye ligi tu
Huyo Kokores tokea ametua Arsenyau ameshafanya kitu gani hasa cha maana mpaka ukajipa false hope ya kukupea 20+ goals?
Usichokijua huyo Kokores ni Højlund wa kuchemsha.
Mchezaji alietokea farmers league umtegemee Epl akupee 20+ goals kwa msimu wake wa kwanza ni kujilisha upepo na kutupatia sababu ya kuwacheka ifikapo mwisho wa msimu.
1754509151869.jpg
 
Back
Top Bottom