Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Yani huyu kayokores ndo mlikuwa mnatutishia nae?? 🤣🤣
View: https://x.com/UTDKara/status/1951293017278595530?t=-iU9DR8o7huALEdJ4CAebA&s=19
Yani huyu kayokores ndo mlikuwa mnatutishia nae?? 🤣🤣
Siwaombei muwe na kikosi kama hiki coz nyumbu hamuhitaji kuwa na furaha kabisaHizo sajili 2 zikikamilika tu, nawashauri Arsenyau msilete timu uwanjani hio tarehe 17, la sivyo zile goli 8 tunaenda kuzifanyia anniversary. View attachment 3427155
Dah! Sometym huwa nawaonea huruma sana hawa watu. Ila vimdomo vyao sasa?
Eze is loading
Palmer Joao Pedro na Caicedo wanawaangalia alafu wanawacheka kwa dharau hii ni EPLI can't wait for eplView attachment 3428495
Safari hii nakupiga mkono (tano tano) home and awayPalmer Joao Pedro na Caicedo wanawaangalia alafu wanawacheka kwa dharau hii ni EPL
Huko nitatoa tamko pale kwenye nusu (kuhusu kufika nusu ni uhakikaAchana na EPL fikiria ligi ya mabingwa UCL. Level za mavampire
%)Huo ndio ushindi wako ila sisi ushindi wetu ni kuchukua makombeSafari hii nakupiga mkono (tano tano) home and awayView attachment 3428557
Huyo tutakuja kumchukua kwa €5m au mkopo. Sijajua mlimnunua kwa kiasi ganiWazee kuna MUDYK kwa sasa ana changamoto za matumizi ya kuvuta bangi, soon atarudi uwanjani. Lipeni pesa mchukue hiyo mashine ya kasi. Acheni ubahili basi
Tuombe sesko aje man u ili Newcastle wasimuuze isakDah ila Man u wamechoka yani, eti wanajibembeleza hadi kwa Sesko kisa Newcastle, Gyokeres amewaumiza mno, usishangae Sesko akawasanifu afu atimkie Newcastle ili baadae ajiunge timu bora.
Man U hawatakiwi kupata mchezaji mzuri, bora aende NewcastleTuombe sesko aje man u ili Newcastle wasimuuze isak