Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Attachments

  • 20250802_085659.jpg
    20250802_085659.jpg
    49.1 KB · Views: 7
Dah ila Man u wamechoka yani, eti wanajibembeleza hadi kwa Sesko kisa Newcastle, Gyokeres amewaumiza mno, usishangae Sesko akawasanifu afu atimkie Newcastle ili baadae ajiunge timu bora.
 
Gyokeres kwa MAN U ni kama mwanaume mwenye hela kumkataa demu mbaya, sasa kwa Sesko man u wanajikomba ni kama demu low IQ kumwambia mwanaume mwnye hela na smart kuwa ukinioa ntakupikia, ntakufulia n.k wakati mwanaume huyu ametanguliza brain kwanza.
 
Back
Top Bottom