Hawa wahuni wameulizia muda wa mechi vizuri tu ila kutoa updates wamejikausha.
Utasikia, it is just a pre season bro, kwani spurs walikuwa wanacheza mechi ya uefa?
Jamaa bado tu haujatosheka na huu utapeli? Si tumeshawaokoa na faini za PSR kwa kuwachukua Madueke na Kepa?Wazee tuongezeeni angalau pesa kidogo kwa HARVETZ mfungaji pekee wa goli la UEFA vs Man city. Acheni ubahili basi.
Tujadili team yetu Na performance yake


15 minutes of Gyokeres vs SpursHuyu alishafeligi Epl. hapa Arsenal wamepgwa za uso.
Huyu alishafeligi Epl. hapa Arsenal wamepgwa za uso.


Yaani hio pesa waliyopoteza ni bora hata wangewapa nyinyi mkawagea Teka la ball Kun Nicolas Jackson Aguero.Mpe muda kidogo yeye na timu wakae sawa. 😀Yani huyu kayokores ndo mlikuwa mnatutishia nae?? 🤣🤣
asenyo spurs kainua kwapa mbele yenu![]()


Tena kombe la ulaya ambalo Arsenyau hawajawahi kubeba tokea dunia inaumbwa, kilichonifurahisha Spurs wamebeba kombe na kocha wamemtimua. 

