Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Najua mnaangalia mechi

Imagine haya maandalizi ni kwa ajili ya Chelsea kuchukua ubingwa 🔥
 
Nyumbu 6
Kenge 6
Spurs 6
Manshit 6
Liverpunda 6
Mijusi 6
IMG-20250713-WA0020.jpg
 
sajili ya madueke tokea yupo PSV ilikuwa ni mapema tu arsenal imalizane nae na angepatikana kwa gharama ndogo tofauti na sasa..
 

Attachments

  • IMG_20250712_215347.jpg
    IMG_20250712_215347.jpg
    52.9 KB · Views: 11
Hizo quote za palmer Huku andika wewe?, hahaha sajili ya madueke isi kutoe mchezoni.
Wewe ni mpya hapa?

Unadhani huyu ni mchezaji wa kwanza mimi kutofautiana maoni na watu?

Ndiyo niliandika. Na pia niliandika Madueke akija Arsenal naacha kufuatilia mpira.

So am walking the talk kwenye ishu zote mbili.
 
Arsenal expect to reach a full agreement with Sporting inside the next 24 hours for the 73.5m euros (£63.5m) signing of Viktor Gyokeres.
 
Ninyi pimbi amkeniiii ,mnalala mna raha gani ninyi nyau ?
Punda kabisa ninyi .
Yaani Crystal palace kabeba FA na kuileta London , kibonde Tottenham kaleta Europa league trophy London , Sisi kings wa London tumeleta makombe mawili Conference league na FIFA world cup London kwa mpigo , ninyi arsenyani kazi kupiga nyetoz tu na kuleta aibu London , ninyi ni viazi kabisa. Inabidi mfukuzwe kabisa London ninyi Fisi maji
 
Back
Top Bottom