Inatakiwa wapewe na jackson hela itakayopatikana wakamchukue morgan rogersIla Chelsea ni wahuni sana, Pesa ya usajili wa Joao Pedro wameenda kuichukua kwa Arsenyashi. View attachment 3405449
Unaachaje wali nazi wa maharage nazi matata na kikombe cha chai tangawizi pembeni kisa umetafuna jiwe moja kwa bahati mbaya?Itakua haupo aware.
Nilisema Madueke akija Arsenal naacha kufuatilia mpira.
Usiniquote tena kuhusu mpira. Hii siyo wewe tu ni kwa wote
Halafu naona Madueke atampunguzia Saka majukumu ya baadhi ya mechi. Michuano ni mingi next season na inahitajika squad depth.Unaachaje wali nazi wa maharage nazi matata na kikombe cha chai tangawizi pembeni kisa umetafuna jiwe moja kwa bahati mbaya?
Usiache kuenjoy kina Gyokeres na Saka watakvyokuwa wanamimina magoli malangoni mwa akina nyumbu na kenge kisa Noni. Tena huyo Noni huenda atafanya vizuri kuliko Sterling. Ukiachana na Arsenal, hutaki kuwacheki kina Vini, Yamal, Bruno na Salah kisa Noni?
Naomba urudishe moyo nyuma na uzingatie upya uamuzi wako. Naona kile unachojimyima hakiendani na sababu ya kujinyima hicho kitu.
kha!😳Itakua haupo aware.
Nilisema Madueke akija Arsenal naacha kufuatilia mpira.
Usiniquote tena kuhusu mpira. Hii siyo wewe tu ni kwa wote
kenge n wazuri kwenye biasharaIla Chelsea ni wahuni sana, Pesa ya usajili wa Joao Pedro wameenda kuichukua kwa Arsenyashi. View attachment 3405449
Mosquers tayariGyokeres dili linaonekana limekamilika.
Nafikiri sasa tutakomaa na Christian Mosquers halafu Eze. Huenda tumeachana na mipango ya Rodrygo kwa sababu tumemchukua Noni Madueke, hivyo tunaweza kuwa tunafikiria kutunza mkwanja ili tumchuke Eze.
Tuna kazi kubwa ya kupunguza wachezaji kama kina Lokonga na Nelson ila kuna matumaini kwamba karibia kila nafasi ina watu wawili (Madueke nimemhesabu mara mbili, yaani kama backup ya Martinelli na Saka). Kwangu sasa Eze naona ndiyo awe kipaumbele maana namuona kama mbadala wa Odegaard kama chief creative mid.
Daah. Mosquera tayari? Ngoja nikacheki maana imekuwa chapu sana 😀😀. Watu wetu wa madili watakuwa walichafukwa sana na mashabiki kuzomea usajili wa Madueke wakaona wafanye juu chini kukamilisha sajili za kufunika story ya Madueke.Mosquers tayari
Kabisa yaani. Jamaa ndiyo hivyo tunaye sasa. Hatuna budi kumuombea yote mema na mafanikio akiwa Arsenal.Halafu naona Madueke atampunguzia Saka majukumu ya baadhi ya mechi. Michuano ni mingi next season na inahitajika squad depth.
Hongereni kwa pre season si bado hatujaanzaHabari mnayo. View attachment 3405613