Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa huu usajili ya Noni £50m +adds on, zubi, Nogaard, kepa,,, kuna uwezekano tena hamuwezi kuwapata rodrigo, eze, Victor G na yule beki anaechezea Spain,,,, labda itokee muuze na kuwaacha baadhi ya wachezaji ili muweze kubalance vitabu, sana sana mtaletewa mmoja tu ili mmpoe !

Rodrigo asking price £100m
Victor G £90m , lile liprizidaa la CP Lina tamaa mbaya
 
Si waweke akunti muwachangie nyie wamatumbi sio mnapiga kelele halafu hata Mia mbovu hutoi
 
We jamaa unakuwaga mjanja Sana😅
 
Hakuna kocha pale.

Endeleeni kujifariji nae tu.
 
Gyokeres asipokuja qmmk sijui itakuwaje. Hii timu inaweza ikakulaza hospitali usipokuwa makini
Kila siku tunavyosema humu kua Arsenyashi ni kikundi cha comedy hua mnajifanya hamuelewi, haya angalieni sasa jinsi mpaka sajili zenu zinavyowachekesha na kuwavunja mbavu wapinzani wenu
 
Madueke mtu sana, anaweza akaamua siku hiyo akaambaa ambaa na mpira kwnye chaki kulee gafla akachuna breki kama ngiri akaanza kurudi alipotoka.

Sema nini?! Nyie Arsenal ndio rafiki zetu wa kweli, kwnye wakati wa shida na wakat wa raha.
 
Madueke mtu sana, anaweza akaamua siku hiyo akaambaa ambaa na mpira kwnye chaki kulee gafla akachuna breki kama ngiri akaanza kurudi alipotoka.

Sema nini?! Nyie Arsenal ndio rafiki zetu wa kweli, kwnye wakati wa shida na wakat wa raha.
Sema Arsenyashi wanajua sana kutufurahisha mashabiki wa timu pinzani.
 
Ebwaneee. Tumemchukua Noni kiu

Tupeni na Badiashile kabisa maana tumeamua kuwasaidia kutatua matatizo yenu.
Nilichogundua mashabiki wengi wa Arsenyashi wanam-underrate Madueke kwa vile tu Masingeli amelikimbia hili jukwaa.
Nina uhakika hamis77 angekuwepo humu angempamba Madueke kama vile alivyompamba Harvez na misukule yote ikaingia kwenye mfumo wa kusifu na kuabudu.
Sema lile jamaa lilikua linajua sana kushawishi, halafu lilikua linawachukulia mashabiki wa Arsenyo kama matakor yake.

Hizi hapa chini ni nukuu zake kuhusu Kai:

"Kai ni mzuri kwenye aerial duel, Kai ni mnyumbulifu, Kai ni king of pressing Epl.
Nketiah sio presser Kama Kai ,huwezi kutaja wachezaji wanaojua ku press EPL watano ukamuacha Kai havertz."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…