Si waweke akunti muwachangie nyie wamatumbi sio mnapiga kelele halafu hata Mia mbovu hutoiNimesoma kuwa tumetuma washenga Ureno tangu weekend hii iliyoisha mpaka leo wameamua kurudi bila kuafikiana na Sporting. Kuna uwezekano kuwa sasa tutaanza upya kutafuta striker.
Gyokeres anatamani sana kuja kwetu na inaonekana sisi pia tunamtaka sana ila tunatofautiana na Sporting kwenye thamani ya mchezaji. Inaonekana tumeelewana bei ni €80m jumla, sisi tunasema €65m + €15m kwa add-ons, wao wanataka €70m + €10 kwa add-ons.
Kama kweli, japo sidhani kama kweli tunapishana million 5 tu kwenye upfront fee, nitaendelea kuona kweli mambo mengine yanafeli kwa vitu vidogo tu. Of course siwezi kusema 5m ni ndogo, huku bongo unaweza kunyimwa mke kisa mbuzi uliyepeleka hakuwa mnono vya kutosha kuwaridhisha wake wako watarajiwa.
Tuendelee kusikilizia hili kwa kama wiki mbili hivi.
Tumepigwa kizembe sanaSina shida na usajili wa Madueke, potential anayo. Shida ada yake M50+. Ninahisi kama Kuna mchezo wa siri unafanyika. Huyu hakutakiwa kuzidi M20 imeenda sana M25
We jamaa unakuwaga mjanja Sana😅Mkuu usikate tamaa, Madueke yule ni Yamal mtupu, tofauti yao ni nywele na komwe tu.
Madueke misimu yake miwili tu chini ya Masterclass Tetea Kiwigi anabeba Ballon d'Or.
Arsenyo chini ya winga teleza Noni Yamal Madueke ikishindwa kuchukua Treble msimu huu Chelsea wanawarudishia hela yenu
Hakuna kocha pale.Mchezaji mnamchukua na kigenge kizima kinashukuru.
Madueke kwa takwimu zake hizi hizi tungekua tunamnunua kutoka labda Lyon au CP mashabiki wangeona sawa tu.
Ila shida ni anapotokea. Kuna sehemu nimesoma kwamba Arteta amemtaka Madueke ili asingekuja akikosa makombe asingizie hakuletewa Madueke
Gyokeres asipokuja qmmk sijui itakuwaje. Hii timu inaweza ikakulaza hospitali usipokuwa makini
😂Madueke tayari, bado Eze na Striker + Mosquera, kila mchezaji anataka kucheza Arsenal. Nasikia harufu ya invincible msimu huu
Mkuu hata wakichanga arsenal fans Tanzania nzima mkuu, ni $ siO Tsh hiyo asking price.Si waweke akunti muwachangie nyie wamatumbi sio mnapiga kelele halafu hata Mia mbovu hutoi
Halafu GYOKERES aliposema anaitaka Arsenal tu, mbuzi nyie mlitukebehi NYUMBU hadi tukakosa raha kabisa.Gyokeres asipokuja qmmk sijui itakuwaje. Hii timu inaweza ikakulaza hospitali usipokuwa makini
Madueke mtu sana, anaweza akaamua siku hiyo akaambaa ambaa na mpira kwnye chaki kulee gafla akachuna breki kama ngiri akaanza kurudi alipotoka.
Sema nini?! Nyie Arsenal ndio rafiki zetu wa kweli, kwnye wakati wa shida na wakat wa raha.
Tupeni na Badiashile kabisa maana tumeamua kuwasaidia kutatua matatizo yenu.Hili deal la Madueke ilibidi tuwape na Robert Sanchez kama kifungashio Ila ngoja tutafute mbadala wake kwanza 😂
Unatoaje 50 kwa mchezaji ambaye ana kuja kuwa back up hii akili ya viongozi wenu ni kuwapimaSijui Arteta na wenzake wameona nini kwa Madueke.
Usajili wa hovyo kbsa huu
Ebwaneee. Tumemchukua Noni kiu
Tupeni na Badiashile kabisa maana tumeamua kuwasaidia kutatua matatizo yenu.