Si waweke akunti muwachangie nyie wamatumbi sio mnapiga kelele halafu hata Mia mbovu hutoiNimesoma kuwa tumetuma washenga Ureno tangu weekend hii iliyoisha mpaka leo wameamua kurudi bila kuafikiana na Sporting. Kuna uwezekano kuwa sasa tutaanza upya kutafuta striker.
Gyokeres anatamani sana kuja kwetu na inaonekana sisi pia tunamtaka sana ila tunatofautiana na Sporting kwenye thamani ya mchezaji. Inaonekana tumeelewana bei ni β¬80m jumla, sisi tunasema β¬65m + β¬15m kwa add-ons, wao wanataka β¬70m + β¬10 kwa add-ons.
Kama kweli, japo sidhani kama kweli tunapishana million 5 tu kwenye upfront fee, nitaendelea kuona kweli mambo mengine yanafeli kwa vitu vidogo tu. Of course siwezi kusema 5m ni ndogo, huku bongo unaweza kunyimwa mke kisa mbuzi uliyepeleka hakuwa mnono vya kutosha kuwaridhisha wake wako watarajiwa.
Tuendelee kusikilizia hili kwa kama wiki mbili hivi.
Tumepigwa kizembe sanaSina shida na usajili wa Madueke, potential anayo. Shida ada yake M50+. Ninahisi kama Kuna mchezo wa siri unafanyika. Huyu hakutakiwa kuzidi M20 imeenda sana M25
We jamaa unakuwaga mjanja Sanaπ[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu usikate tamaa, Madueke yule ni Yamal mtupu, tofauti yao ni nywele na komwe tu.
Madueke misimu yake miwili tu chini ya Masterclass Tetea Kiwigi anabeba Ballon d'Or.
Arsenyo chini ya winga teleza Noni Yamal Madueke ikishindwa kuchukua Treble msimu huu Chelsea wanawarudishia hela yenu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna kocha pale.Mchezaji mnamchukua na kigenge kizima kinashukuru.
Madueke kwa takwimu zake hizi hizi tungekua tunamnunua kutoka labda Lyon au CP mashabiki wangeona sawa tu.
Ila shida ni anapotokea. Kuna sehemu nimesoma kwamba Arteta amemtaka Madueke ili asingekuja akikosa makombe asingizie hakuletewa Madueke
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kila siku tunavyosema humu kua Arsenyashi ni kikundi cha comedy hua mnajifanya hamuelewi, haya angalieni sasa jinsi mpaka sajili zenu zinavyowachekesha na kuwavunja mbavu wapinzani wenu[emoji16][emoji16][emoji16]Gyokeres asipokuja qmmk sijui itakuwaje. Hii timu inaweza ikakulaza hospitali usipokuwa makini
πMadueke tayari, bado Eze na Striker + Mosquera, kila mchezaji anataka kucheza Arsenal. Nasikia harufu ya invincible msimu huu
Mkuu hata wakichanga arsenal fans Tanzania nzima mkuu, ni $ siO Tsh hiyo asking price.Si waweke akunti muwachangie nyie wamatumbi sio mnapiga kelele halafu hata Mia mbovu hutoi
Halafu GYOKERES aliposema anaitaka Arsenal tu, mbuzi nyie mlitukebehi NYUMBU hadi tukakosa raha kabisa.Gyokeres asipokuja qmmk sijui itakuwaje. Hii timu inaweza ikakulaza hospitali usipokuwa makini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sema Arsenyashi wanajua sana kutufurahisha mashabiki wa timu pinzani.Madueke mtu sana, anaweza akaamua siku hiyo akaambaa ambaa na mpira kwnye chaki kulee gafla akachuna breki kama ngiri akaanza kurudi alipotoka.
Sema nini?! Nyie Arsenal ndio rafiki zetu wa kweli, kwnye wakati wa shida na wakat wa raha.
Tupeni na Badiashile kabisa maana tumeamua kuwasaidia kutatua matatizo yenu.Hili deal la Madueke ilibidi tuwape na Robert Sanchez kama kifungashio Ila ngoja tutafute mbadala wake kwanza π
Unatoaje 50 kwa mchezaji ambaye ana kuja kuwa back up hii akili ya viongozi wenu ni kuwapimaSijui Arteta na wenzake wameona nini kwa Madueke.
Usajili wa hovyo kbsa huu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nilichogundua mashabiki wengi wa Arsenyashi wanam-underrate Madueke kwa vile tu Masingeli amelikimbia hili jukwaa.Ebwaneee. Tumemchukua Noni kiu
Tupeni na Badiashile kabisa maana tumeamua kuwasaidia kutatua matatizo yenu.
Aisee huyo jamaa π strength mpk za ngolo kanteπ[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nilichogundua mashabiki wengi wa Arsenyashi wanam-underrate Madueke kwa vile tu Masingeli amelikimbia hili jukwaa.
Nina uhakika hamis77 angekuwepo humu angempamba Madueke kama vile alivyompamba Harvez na misukule yote ikaingia kwenye mfumo wa kusifu na kuabudu.
Sema lile jamaa lilikua linajua sana kushawishi, halafu lilikua linawachukulia mashabiki wa Arsenyo kama matakor yake.
Hizi hapa chini ni nukuu zake kuhusu Kai:
"Kai ni mzuri kwenye aerial duel, Kai ni mnyumbulifu, Kai ni king of pressing Epl.
Nketiah sio presser Kama Kai ,huwezi kutaja wachezaji wanaojua ku press EPL watano ukamuacha Kai havertz."
View attachment 3401954
Nimecheka sana, hapo alipokua anampamba Havertz,ππ Havertz huyu huyu wa Arsenal au alikua anamuongelea mwingine!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nilichogundua mashabiki wengi wa Arsenyashi wanam-underrate Madueke kwa vile tu Masingeli amelikimbia hili jukwaa.
Nina uhakika hamis77 angekuwepo humu angempamba Madueke kama vile alivyompamba Harvez na misukule yote ikaingia kwenye mfumo wa kusifu na kuabudu.
Sema lile jamaa lilikua linajua sana kushawishi, halafu lilikua linawachukulia mashabiki wa Arsenyo kama matakor yake.
Hizi hapa chini ni nukuu zake kuhusu Kai:
"Kai ni mzuri kwenye aerial duel, Kai ni mnyumbulifu, Kai ni king of pressing Epl.
Nketiah sio presser Kama Kai ,huwezi kutaja wachezaji wanaojua ku press EPL watano ukamuacha Kai havertz."
View attachment 3401954