Mchwa wengine nao maumivu mi ngoja nitambae nitambaeTusubiri mchwa sasa muda si mrefu wataanza kutoka katika vichuguu
sitashagaa wakiruhusu aondoke January mi nilijua aliletwa aseno sababu moja ikiwa ni uwezo wake wa mipira ya juu na vichwa.Mie mwenyewe sijaamini kama Chamakh kakosa hile nafasi.
:sad:Anyway sio mbaya, tumewaona subs, "The OX" sio wa kawaida,kama alivyosema AW hapo juu, huyu kijana kaiva, ndio muda wake acheze sasa, hasa ukichukulia vijana kama Walcott wamechoka.
Game ilikua poa, ila Park naona ana struggle akicheza na timu hizi kubwa, sijui tutamtegemea RVP mpaka lini, Marouane Chamakh tunajua anavuta muda tu, Frimpong, Coq na hasa hasa Laurent Koscielny, bomba wakuu.
Usiku mwema na sidhani kama tutatoa machozi leo!
Kwa sababu ametoka Ligue 1. na anaongea kifaransa.nilikuwa nacheki na washakji flani walipoona kikosi cha gooners wakatabiri bao zaidi ya 5 .... hehe! vijana wamejitahidi saana tu! ila sijajua kwa nini wenger anampenda sana chamark! ...
Timu ni wachezaji,na miongoni mwao ni RVP.Arsenal without RVP ni hakuna kitu...
Nasri angebaki tu Arsenal,maybe ni more money pamoja na kutaka kuwepo kwenye kikosi cha ubingwa,zaidi ya hapo wala hafit Man C.Zile run za NASRI sizioni au ndo formation ya Kocha mpya!!!
Naona mmetolewa KOMBE lenu..sasa sijui mnabaki na nn msimu huu..:eyebrows:
Buhahahahahaaaaah!Mkuu naona bado uko usingizini na umeshindwa kutambua kwamba hata nyinyi msimu huu lile ndio kombe lenu mliokuwa mnategemea kuchukua tu.
Hawa wapinzani wameanza kwa kasi kweli. Ngoja tuone kama si nguvu ya soda au watafutanyia suprise kama ya game yetu iliyopitawadau inakuwaje ... tunampiga mtu Leo