Safi Arteta
Tena varmleen goli lake la pili hilo ama sikosei ukiweka na la kujifunga ana magoli matatu.Varmaeleeen! 2-0
Hahaha...lile halihesabiwi!Tena varmleen goli lake la pili hilo ama sikosei ukiweka na la kujifunga ana magoli matatu.
Naona tatizo la beki linaanza kutuisha. Gibs naye pia akirudi atatusaidiaKoscienly naona cross zake nzuri kule upande wa kulia.
Mtaalam Sagna anapona lini sijui; nilikuwa nimemsahau kabisa. Atasaidia kuongeza nguvu kwenye kikosi akirudi.
Kwa mtazamo wangu Pale gervinho hakuwa na namna. kipa alishamtight lazima choice ilikuwa aende kulia au kushoto. kwahiyo kipa wa wapinzani apongezweDah!huyu gavinyo cjui vp?
Dah!huyu gavinyo cjui vp?
Na djorou yuko bench kutusaidiaNaona tatizo la beki linaanza kutuisha. Gibs naye pia akirudi atatusaidia
Koscienly naona cross zake nzuri kule upande wa kulia.
Mtaalam Sagna anapona lini sijui; nilikuwa nimemsahau kabisa. Atasaidia kuongeza nguvu kwenye kikosi akirudi.
Itapendeza zikikiongezea goli nyingine mbili kipindi cha pili moja ya gerv nyingine ya Van.
Kwa mtazamo wangu Pale gervinho hakuwa na namna. kipa alishamtight lazima choice ilikuwa aende kulia au kushoto. kwahiyo kipa wa wapinzani apongezwe