Ni suala la muda tu utaona here we go
KDB nae si katokea Chelsea kwani alikuwa mmbaya ni vile tu hakuaminiwa but alikuwa mchezaji mzuri huyo dogo wenu mnaoangaika nae kumuongezea mkataba kwani ni mmbaya? au haaminiwi? Ngoja nikupe pia mfano mwingine ni Cole Palmer kwani alikuwa mmbaya man city? Ni vile Kama Chelsea wamemuamini na kumpa muda ndio maana umeona moto wakeSalah, chelsea alifeli,
Swali dogo tu angekuwa na moto ule wa Roma tu ama huu wa liverpool, nani angemuweka benchi!?
Hakuwa na kiwango bora hichi ..
Cole Palmer? Moto? Labda moto wa penaltyKDB nae si katokea Chelsea kwani alikuwa mmbaya ni vile tu hakuaminiwa but alikuwa mchezaji mzuri huyo dogo wenu mnaoangaika nae kumuongezea mkataba kwani ni mmbaya? au haaminiwi? Ngoja nikupe pia mfano mwingine ni Cole Palmer kwani alikuwa mmbaya man city? Ni vile Kama Chelsea wamemuamini na kumpa muda ndio maana umeona moto wake
Hizi roho za husda😁Cole Palmer? Moto? Labda moto wa penalty
Trossard abaki.Trosard, zinchenko wabaki bhana
Mnasemaga hivyo hivyo. Ila wakija hapa kwenu ni 1st choice.Cole Palmer? Moto? Labda moto wa penalty
Hapa umeongea kishabikiCole Palmer? Moto? Labda moto wa penalty
acha ushabiki maandazi, Cole palmer aki punguziwa majukumu uwanjani ana juaCole Palmer? Moto? Labda moto wa penalty
Unajua kama anawekwa bench na Saka? Halafu maajabu yake timu ya taifa Noni anamuweka benchi Cole PalmerMnasemaga hivyo hivyo. Ila wakija hapa kwenu ni 1st choice.
I See.acha ushabiki maandazi, Cole palmer aki punguziwa majukumu uwanjani ana jua
Hata asipopunguziwa majukumu Palmer ni mchezaji boraacha ushabiki maandazi, Cole palmer aki punguziwa majukumu uwanjani ana jua
Fifa Club World Cup.Hapa umeongea kishabiki
Msimu wa 2023_24 na 2024_25 ni namba 10 kumi yupi uingereza aliyemzidi kutengeneza nafasi na kufunga magoli?.Fifa Club World Cup.
Mechi nne
Goli moja
Assist moja
Umehesabu na nafasi alizotengeneza wenzake wakakosa wakina MaduekeFifa Club World Cup.
Mechi nne
Goli moja
Assist moja
Swali zuri akikujibu nitagMsimu wa 2023_24 na 2024_25 ni namba 10 kumi yupi uingereza aliyemzidi kutengeneza nafasi na kufunga magoli?.
Magoli mangapi yalikua ya penalty misimu yote miwili?Msimu wa 2023_24 na 2024_25 ni namba 10 kumi yupi uingereza aliyemzidi kutengeneza nafasi na kufunga magoli?.
Nishajibu, sasa njooni msaidiane kujibuSwali zuri akikujibu nitag
msimu uliopita Palmer kafunga magoal 15 na ukaweka assist 8 nitajie kiungo wako yoyote wa EPL kamzidi kwa takwimu na hapo striker ni Jackson tungekuwa na strikers wa maana Kama tulivyopata msimu angekuwa na assist nyingi sana maana anatengeneza nafasi nyingiUnajua kama anawekwa bench na Saka? Halafu maajabu yake timu ya taifa Noni anamuweka benchi Cole Palmer