Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,235
- 76,759
Cole Palmer? Moto? Labda moto wa penaltyKDB nae si katokea Chelsea kwani alikuwa mmbaya ni vile tu hakuaminiwa but alikuwa mchezaji mzuri huyo dogo wenu mnaoangaika nae kumuongezea mkataba kwani ni mmbaya? au haaminiwi? Ngoja nikupe pia mfano mwingine ni Cole Palmer kwani alikuwa mmbaya man city? Ni vile Kama Chelsea wamemuamini na kumpa muda ndio maana umeona moto wake