Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1751924443486.jpg

Jamaa imebidi aonyeshwe picha za Ma legend tu ,Trophy Cabinet ni nyeupe.
 
Salah, chelsea alifeli,
Swali dogo tu angekuwa na moto ule wa Roma tu ama huu wa liverpool, nani angemuweka benchi!?
Hakuwa na kiwango bora hichi ..
KDB nae si katokea Chelsea kwani alikuwa mmbaya ni vile tu hakuaminiwa but alikuwa mchezaji mzuri huyo dogo wenu mnaoangaika nae kumuongezea mkataba kwani ni mmbaya? au haaminiwi? Ngoja nikupe pia mfano mwingine ni Cole Palmer kwani alikuwa mmbaya man city? Ni vile Kama Chelsea wamemuamini na kumpa muda ndio maana umeona moto wake
 
KDB nae si katokea Chelsea kwani alikuwa mmbaya ni vile tu hakuaminiwa but alikuwa mchezaji mzuri huyo dogo wenu mnaoangaika nae kumuongezea mkataba kwani ni mmbaya? au haaminiwi? Ngoja nikupe pia mfano mwingine ni Cole Palmer kwani alikuwa mmbaya man city? Ni vile Kama Chelsea wamemuamini na kumpa muda ndio maana umeona moto wake
Cole Palmer? Moto? Labda moto wa penalty
 
Unajua kama anawekwa bench na Saka? Halafu maajabu yake timu ya taifa Noni anamuweka benchi Cole Palmer
msimu uliopita Palmer kafunga magoal 15 na ukaweka assist 8 nitajie kiungo wako yoyote wa EPL kamzidi kwa takwimu na hapo striker ni Jackson tungekuwa na strikers wa maana Kama tulivyopata msimu angekuwa na assist nyingi sana maana anatengeneza nafasi nyingi
 
Back
Top Bottom