Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna page nimekuta imeweka stats.

Halafu page nyingine inasema wengi wanaomtaka Sesko wanatamani kuona tukikosa makombe kisingizio kiwe Sesko ni project so tuvumilie aive.

View attachment 3396599
Namba zisikutishe, profile ndio kila kitu, mpira ni muunganiko wa watu 11 uwanjani, wanahusiana vipi ndio swali la msingi, ni km Mustafi kuwa na namba nzuri kuliko Van Dijk
 
Nakusahihisha Salah hakufeli Chelsea Bali alikosa namba kwasababu kwenye nafasi yake alikuwa anacheza Willian alikuwa wamoto sana ndio maana hakawa hapati nafasi ya mara kwa mara.Ukisema kufeli maana nikushindwa kudeliver but kwa Salah pamoja nakuwa mara nyingi anaingia sub but huwa ana deliver kizuizi kwake ilikuwa namba anayocheza anacheza Willian
Ndio kufeli kwenyewe huko, tusitafute excuse, alifeli.
 
Nilijua tu Maktaba kuu Flano akiiona tu hii post lazima atakuja na maneno mengi.
Nimefurahi sana kumuona mkorea chawa kindakindaki wa Masingeli analia kwa uchungu mkubwa kua Masingile alimuingiza chaka kwa zile analysis zake za pressing & Overloading
Ila Masingeli ni Konyo sana yule mtu kwa ushawishi, yule anaweza kuwaaminisha kua Kai Harvez ni Black baba yake ni Msenegal na kundi la watu humu wakaamini, yaani Masingeli kama sio dalali wa Magomeni basi atakua na undugu na yule msela aliemshawishi mama yetu kula tunda kule bustanini
 
Ndio kufeli kwenyewe huko, tusitafute excuse, alifeli.
Sio kufeli kwani kipindi fabregas yupo Barca akawa hapati namba ya mara kwa mara kwani alikuwa mmbaya au ni kwasababu nafasi alikuwa anacheza ilikuwa ni ngumu kupata namba baada ya kuamia Chelsea akawa top assist. Kukosa namba sehemu Kuna sababu kuu mbili moja ni kusidiwa uwezo, mbili preference ya kocha kulingana na mfumo wake
 
Back
Top Bottom