Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tumalizane kwanza na Gyokeres, then Mosquera, then Eze. Baada ya hapo tuka bargain kimalingo kwa Rodrigo, Sesko.

Badala ya Madueke kwanini tusimfate Kudus. Yule tukigusa kidogo tu hachomoi, hakuna mchezaji asiye itamani arsenal sasahivi, kwanza arsenal damu kabisa yule
Kabla ya msimu kuanza mnakuwa na matumaini mengi kama haya ila ikifika ligi imeanza ssa nyie hao hao maanza kupiga makelele Arsenal ni ile ile hata aje nani ubingwa wenu ni kushika namba 2 ndio kombe lenu viande nyie
 
stats zake ni kuwa ktk msimu mzima aliocheza Brighton hakupata hata nafasi ya kuingia sub
Alipokuwa championship misimu minne aliyochezea Swansea na coventry city katika mechi 91 aliishia kufunga magoli 38,hapo kuna takwimu gani nzuri?
 
Tumalizane kwanza na Gyokeres, then Mosquera, then Eze. Baada ya hapo tuka bargain kimalingo kwa Rodrigo, Sesko.

Badala ya Madueke kwanini tusimfate Kudus. Yule tukigusa kidogo tu hachomoi, hakuna mchezaji asiye itamani arsenal sasahivi, kwanza arsenal damu kabisa yule
Bajeti inakataa
 
stats zake ni kuwa ktk msimu mzima aliocheza Brighton hakupata hata nafasi ya kuingia sub
Alipokuwa championship misimu minne aliyochezea Swansea na coventry city katika mechi 91 aliishia kufunga magoli 38,hapo kuna takwimu gani nzuri?
Wachezaji wanabadilika, wanakua, viwango vinaoanda, viwango vinashuka pia..
Hakunaga usajili wa uhakika ni kubet tu.
Mwalimu anamchukua mchezaji kwa vile anavyoona anaweza mtumia..
Style of play ya mchezaji ndio mwalimu anaona huyu ananifaa ama lah!!
Subiri tuone.
 
Wachezaji wanabadilika, wanakua, viwango vinaoanda, viwango vinashuka pia..
Hakunaga usajili wa uhakika ni kubet tu.
Mwalimu anamchukua mchezaji kwa vile anavyoona anaweza mtumia..
Style of play ya mchezaji ndio mwalimu anaona huyu ananifaa ama lah!!
Subiri tuone.
Anyway wacha tuone mchezaji wa farmers league kutamba EPL
kumbuka nunez alipokuwa benfica na alipohamia liverpool
 
Wachezaji wanabadilika, wanakua, viwango vinaoanda, viwango vinashuka pia..
Hakunaga usajili wa uhakika ni kubet tu.
Mwalimu anamchukua mchezaji kwa vile anavyoona anaweza mtumia..
Style of play ya mchezaji ndio mwalimu anaona huyu ananifaa ama lah!!
Subiri tuone.
Halafu goli 38 kwenye mechi 91 epl sio mbaya, firmino drogba hakuna aliye vuka hata goli 37 Kwenye mechi 90 zao za kwanza.
 
stats zake ni kuwa ktk msimu mzima aliocheza Brighton hakupata hata nafasi ya kuingia sub
Alipokuwa championship misimu minne aliyochezea Swansea na coventry city katika mechi 91 aliishia kufunga magoli 38,hapo kuna takwimu gani nzuri?
Jamaa kacheza Bundes Liga daraja la 2 akafunga magoli 7.

Kisha akaenda Championship.

Akafunga magoli 3, akaja 17 kisha akaja 21.

Akatoka Championship akaenda ligi kuu Ureno.

The rest is history.

Hata hesabu uliyosema kwamba alikua Championship misimu minne siyo kweli. Alikaa misimu 3 championship na magoli siyo 38.

Kama uliwahi kuona Arsenal tunamtaka Ivan Toney au Watkins jua wazi tulikua tunataka STs ambao walishazunguka sana Championship.

Sesko kafunga magoli 13 tu ya Bundes Liga na anaogopa kushindana na Kai, kisha una mtu anayekubali apunguziwe mshahara ili aje hapo kwenu. Una Merino na Kai ambao mmoja alipotokea alikua hascore ghafla wanascore kisha unamhofia Viktor?

Aliyecheza for 89 minutes akamburuza Kiwior aliyecheza for two minutes?
 
Daah leo hii mpaka mkorea anaongea hivi tena kwa uchungu ujue akili zimeanza kurudi mahali pake, Mkorea wewe si ndio ulikua mpiga zumari mkuu wa yule motivational speaker wenu Masingeli?
Lile jamaa lilikua na ushawishi wa hali ya juu sana, alijua kuwalisha upepo na analysis zake uchwara za pressing na overloading, positional interchange, flexibility na aerial duel, mambo yalivyokua magumu ikabidi liwe linapigwa haram football akahamia kwenye kusifia set pieces na nyinyi chawa zake mkawa mnaimba mapambio humu ya kusifu na kuabudu.
Sijui hata liko wapi sasa hivi Cha-mbuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi, Mkurugenzi mkuu wa taasisi kubwa kabisa Africa mashariki na kati
hamis77 Integrated Investment Co. LTD
 
Hakunaga garantii kwenye usajili.
Salah alifeli Chelsea, akazunguka huko akaja na umoto wake liverpool ,sanchez wa moto arsenal akafeli madrid, di maria wa moto madrid akafeli.
Nakusahihisha Salah hakufeli Chelsea Bali alikosa namba kwasababu kwenye nafasi yake alikuwa anacheza Willian alikuwa wamoto sana ndio maana hakawa hapati nafasi ya mara kwa mara.Ukisema kufeli maana nikushindwa kudeliver but kwa Salah pamoja nakuwa mara nyingi anaingia sub but huwa ana deliver kizuizi kwake ilikuwa namba anayocheza anacheza Willian
 
Tunajitaji mtu wa kuweka mipira nyavuni

Hizo high ceiling, sijui runner hazikupi kitu mwisho wa michuano.
Kuna kipindi katika analysis arsenal tulikua vizuri kwenye overload, sjui high pressing. Mwisho wa siku ndio zikawa zinatumika hizo hizo kutukanwa humu
unapo m-platform mchezaji kabla ya yote unaangalia profile yake ni nini anaweza kufanya, magoli ni jambo la mwisho, ingekuwa magoli ndio sifa basi Merino ana namba nzuri tu
 
Daah leo hii mpaka mkorea anaongea hivi tena kwa uchungu ujue akili zimeanza kurudi mahali pake, Mkorea wewe si ndio ulikua mpiga zumari mkuu wa yule motivational speaker wenu Masingeli?
Lile jamaa lilikua na ushawishi wa hali ya juu sana, alijua kuwalisha upepo na analysis zake uchwara za pressing na overloading, positional interchange, flexibility na aerial duel, mambo yalivyokua magumu ikabidi liwe linapigwa haram football akahamia kwenye kusifia set pieces na nyinyi chawa zake mkawa mnaimba mapambio humu ya kusifu na kuabudu.
Sijui hata liko wapi sasa hivi Cha-mbuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi, Mkurugenzi mkuu wa taasisi kubwa kabisa Africa mashariki na kati
hamis77 Integrated Investment Co. LTD
Nilijua tu Maktaba kuu Flano akiiona tu hii post lazima atakuja na maneno mengi.
 
Daah leo hii mpaka mkorea anaongea hivi tena kwa uchungu ujue akili zimeanza kurudi mahali pake, Mkorea wewe si ndio ulikua mpiga zumari mkuu wa yule motivational speaker wenu Masingeli?
Lile jamaa lilikua na ushawishi wa hali ya juu sana, alijua kuwalisha upepo na analysis zake uchwara za pressing na overloading, positional interchange, flexibility na aerial duel, mambo yalivyokua magumu ikabidi liwe linapigwa haram football akahamia kwenye kusifia set pieces na nyinyi chawa zake mkawa mnaimba mapambio humu ya kusifu na kuabudu.
Sijui hata liko wapi sasa hivi Cha-mbuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi, Mkurugenzi mkuu wa taasisi kubwa kabisa Africa mashariki na kati
hamis77 Integrated Investment Co. LTD
Sasa JF ilivyo na maajabu sababu watu wana ac zaidi ya moja, inawezekana unayemsifu ndiye unayemponda. Hapo ndio watu nyuma ya pazia wanakuona huna akili mbwatukaji, km wewe bwana flano
 
Back
Top Bottom