OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,960
- 25,309
Hawa viazi mbatata ni kuendelea kuwakula tuuuSpurs kabeba Europa kabla ya arsenal, within 10 years spurs ni bora zaidi ya arsenal, miaka 10 iliyopita kashiriki final uefa, kabeba europa na kashiriki uefa mara nyingi zaidi ya assnal.
Leicester huyu hapa kashuka daraja atapanda atabeba epl haijalishi ni mwaka gan hata 2050 ila itakua kabla ya arsenal 😂😂