Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Enrique anaenda kunyenyua kwapa, kipindi tunahangaika na unai na arteta mwanzoni, nilikuwa najiuliza kwani luis Enrique hawamuoni..
Hata humu nishawahi andika.

Wenzetu wamenyanyua ndoo, sisi tupo tu.. mpaka Tottenham ni fedheha.
 
Enrique anaenda kunyenyua kwapa, kipindi tunahangaika na unai na arteta mwanzoni, nilikuwa najiuliza kwani luis Enrique hawamuoni..
Hata humu nishawahi andika.

Wenzetu wamenyanyua ndoo, sisi tupo tu.. mpaka Tottenham ni fedheha.
Luis alipoona hawafungi sana hii January akataka aletewe mtu. Akaletewa Kvaraskhelia.

Arteta alivyoumia Kai akasema inabidi January kusajili. Nini kikafuata? Kuna namna ya uendeshaji wa klabu yetu inabidi kutegemea maombi pia kwamba majeruhi yasije.
 
Huu Kama sio upuuzi ni nini?
FB_IMG_17486861646021692.jpg
 
Hawa Inter sisi ndiyo tulihofia kukutana nao kwakua wanapaki basi na kuua movements kwa hila.

Akawatuliza Barca. Akatupiga moja.

Leo alichofanywa ni statement kwamba timu zinahitaji kuspend.

Arteta na mwenzake waache masihara
 
Hawa Inter sisi ndiyo tulihofia kukutana nao kwakua wanapaki basi na kuua movements kwa hila.

Akawatuliza Barca. Akatupiga moja.

Leo alichofanywa ni statement kwamba timu zinahitaji kuspend.

Arteta na mwenzake waache masihara
Kwanza kama hatutakuwa na kiungo anayeweza kufanya central progression wakati wa kushambulia na badala yake tukategemea wings basi tuna msimu mwingine kama huu au uliopita.

Hatuna clinical finisher,
Hatuna defined left winger,
Hatuna namba 10 wa maana (baller),
Hatuna bench la maana baada ya kikosi Cha kwanza.

Jesus spana mikononi,
Martinell spana mikononi,
Harvets haeleweki kabisa,
Partey spana mikononi,
Timber spana mikononi,
Trossard umri,

Akili za wachezaji zibadilike,

Kocha abadilike (katugharimu na kumchezesha partey right back),

Sera za usajili zibadilike (wasingoje kutatua Kila tatizo mwisho wa msimu kuwe na January kit).

Tabia ya wamiliki ibadilike (wasimfanye kocha ajihisi Yuko too safe na kibarua chake)
 
Kwanza kama hatutakuwa na kiungo anayeweza kufanya central progression wakati wa kushambulia na badala yake tukategemea wings basi tuna msimu mwingine kama huu au uliopita.

Hatuna clinical finisher,
Hatuna defined left winger,
Hatuna namba 10 wa maana (baller),
Hatuna bench la maana baada ya kikosi Cha kwanza.

Jesus spana mikononi,
Martinell spana mikononi,
Harvets haeleweki kabisa,
Partey spana mikononi,
Timber spana mikononi,
Trossard umri,

Akili za wachezaji zibadilike,

Kocha abadilike (katugharimu na kumchezesha partey right back),

Sera za usajili zibadilike (wasingoje kutatua Kila tatizo mwisho wa msimu kuwe na January kit).

Tabia ya wamiliki ibadilike (wasimfanye kocha ajihisi Yuko too safe na kibarua chake)
Nakuunga mkono
 
Back
Top Bottom