Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,903
- 9,915
Wana bahati sana. Hawa tulitakiwa tuwapelekee DISASIWivu tuu.
Aser8 & Blues ina urafiki wa muda mrefu wa kuuziana na kukopeshana wachezaji.
Tumejitahidi kwa miaka mingi kuwasaidia kubeba makombe, tumewapa Kai & Jog washindi wa UCL bado mmekwama kubeba UCL.
Msimu huu tunawapa Keppa na Badiashile. Msituangushe tena