Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wivu tuu.

Aser8 & Blues ina urafiki wa muda mrefu wa kuuziana na kukopeshana wachezaji.

Tumejitahidi kwa miaka mingi kuwasaidia kubeba makombe, tumewapa Kai & Jog washindi wa UCL bado mmekwama kubeba UCL.

Msimu huu tunawapa Keppa na Badiashile. Msituangushe tena
Wana bahati sana. Hawa tulitakiwa tuwapelekee DISASI
 
Yaani aache kwenda Madrid aende Arsenal, hata kama ni ww unaweza kufanya huo upuuzi?
Tushamalizana na hili dili kitambo sana. Labda kuna mambo madogo yamebaki ila sidhani kama kuna hatari ya kumkosa. Tunasubiri tu mwaka huu wa fedha wa Spain uishe 30 June ili Sociedad waweke mshiko wa mauzo haya mwaka ujao wa fedha, yaani July.
 
Martin Zubimendi to Arsenal was almost done but a call from Real Madrid has now changed EVERYTHING.

The situation is now open !!!!!

Mara chache sana Madrid wanabisha hodi na ukagoma mifano ipo michache kama kina Stevie G, Giggs, Scholes na F. Totti
 
Usajili wa Chaaba umekamilika mpo vizuri
1749487178821.jpg
 
Chelsea - Neto 🇵🇹
Man Utd - Bruno 🇵🇹
Man City - B. Silva 🇵🇹
Liverpool - Jota 🇵🇹
Arsenal - Nobody

Even on the international stage they go trophy-less 🗑 🚮 🗑 🚮 🗑 🚮
Hawa watoto wa kiwigi wana nux, ndio mana hata Tuchel england ameamua awaweke wachezaji wa Arsenal bench, Saka na mchele wanasugulishwa tu banchi.
 
Martin Zubimendi to Arsenal was almost done but a call from Real Madrid has now changed EVERYTHING.

The situation is now open !!!!!

Mara chache sana Madrid wanabisha hodi na ukagoma mifano ipo michache kama kina Stevie G, Giggs, Scholes na F. Totti
Nadhani huyu tunaye tayari. July tutamuona Emirates. Isipotokea nitashangaa kidogo.
 
Martin Zubimendi to Arsenal was almost done but a call from Real Madrid has now changed EVERYTHING.

The situation is now open !!!!!

Mara chache sana Madrid wanabisha hodi na ukagoma mifano ipo michache kama kina Stevie G, Giggs, Scholes na F. Totti
Aser8 vs Madrid hapo mchezaji anachagua upinde vs Makombe
 
Zubimendi deal to Arsenal looks highly likely, because Real Sociedad are not willing to sell to RM
Kwa sasa hatuna presha. Bado nafikiri hili dili lilishakaa sawa muda kidogo sasa ila kuna mambo ya kifedha ya kuweka vitabu sawa yanahitajika. Zubi anatutaka mwenyewe, Sociedad wanataka aje kwetu, mambo ni mazuri ila kuna maneno maneno ya kichokozi tu ya wanahabari wanaotafuta attention ndiyo yanaxunguka mitandaoni.
 
Huyu Kepa anatokea Chelsea ila ni kutoka Bournemouth siyo Chelsea moja kwa moja hivyo tuwe na matumaini naye kidogo kuliko kama ilivyokuwa kwa Gallas, Willian, David Luiz na Sterling.
 
Back
Top Bottom