Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

We 'll be stronger COYG[emoji123] ([emoji1787])
View attachment 3353586
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
1713703710899.jpg
1740627027746.jpg
 
Kwa sajili anazoendelea kufanya CITY, Msimu ujao Arse8 anatoka mikono mitupu tena. Ni vema mkafikiria kuhamia ligi ya Championship embu kaeni chini mlitazame hilo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Watahamia ligi ya kina mama, kina Ødegaard wataenda kucheza na dada zao, walau huko wana uhakika wa kubeba ndoo na kupata Ballon d'Or.
Ila huku kiumeni kila msimu wataishia kuwa bridesmaid.
images-23.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tetea Kiwigi anajihesabia mpaka sasa ana makombe mawili ya Epl kisa misimu miwili iliyopita amemaliza ligi kwa points nyingi kuliko points za mabingwa wa msimu huu.
Arsenyau mna siri sana, kumbe mmebeba mikombe miwili ya Epl halafu hata hamsemi.

# Tetea Kiwigi Mitano Tena.
images-11.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tetea Kiwigi anajihesabia mpaka sasa ana makombe mawili ya Epl kisa misimu miwili iliyopita amemaliza ligi kwa points nyingi kuliko points za mabingwa wa msimu huu.
Arsenyau mna siri sana, kumbe mmebeba mikombe miwili ya Epl halafu hata hamsemi.

# Tetea Kiwigi Mitano Tena. View attachment 3355714
Ila jamaa Flano kashata sana wewe.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila Tetea Kiwigi banaa, kabla ya kucheza nusu fainali na Psg aliwaaminisha mashabiki wa Arsenyau kua msimu huu hajaona timu yoyote bora kushinda Arsenyo, akawataka mashabiki wake waanze kabisa kusherehekea ubingwa, yeye atakua ndie kocha wa kwanza wa Asenyo kuvunja rekodi ya kuwaletea Uefa, kombe ambalo tokea timu imeanzishwa mwaka 1886 hawajawahi kulibeba.
images-22.jpg
 

Nyie mazwazwa msijikaushe UEFA wamerank teams 2025, timu yenu bora imepitwa mpk na nyumbu, kweli nyie viazi.
 

Nyie mazwazwa msijikaushe UEFA wamerank teams 2025, timu yenu bora imepitwa mpk na nyumbu, kweli nyie viazi.
Hajatuacha mbali. Kesho tu hapa tunampita. Chelsea, Liverpool na Manchester City nao tutawakuta ndani ya miaka michache tu. Safari yetu inaelekea kileleni mwa hii orodha, na tutafika tu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Imefikia wakati sasa mpaka ma legends wa Arsenyau wameshamchoka Tetea Kiwigi na False hope zake. View attachment 3355754
Petit alitukimbia na kwenda Barcelona bila kushawishiwa saaaana...n akaenda Chelsea pia. Miaka yake bora ametumikia timu zingine. Huyu si legend wetu. Anajipendekeza tu anapotuona tunafanya vizuri kidogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom