Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Eti hii timu ilitaka kucheza fainali ya UCL
20250601_182947.jpg
 
Kwanza kama hatutakuwa na kiungo anayeweza kufanya central progression wakati wa kushambulia na badala yake tukategemea wings basi tuna msimu mwingine kama huu au uliopita.

Hatuna clinical finisher,
Hatuna defined left winger,
Hatuna namba 10 wa maana (baller),
Hatuna bench la maana baada ya kikosi Cha kwanza.

Jesus spana mikononi,
Martinell spana mikononi,
Harvets haeleweki kabisa,
Partey spana mikononi,
Timber spana mikononi,
Trossard umri,

Akili za wachezaji zibadilike,

Kocha abadilike (katugharimu na kumchezesha partey right back),

Sera za usajili zibadilike (wasingoje kutatua Kila tatizo mwisho wa msimu kuwe na January kit).

Tabia ya wamiliki ibadilike (wasimfanye kocha ajihisi Yuko too safe na kibarua chake)
Mchezaji wenu Partey kashindwa kufanya Central progression, timu ina rank no. 20, IQ ya mtu tunaipima kwenye vitu visivyoonekana kwa macho
 
Kwa sajili anazoendelea kufanya CITY, Msimu ujao Arse8 anatoka mikono mitupu tena. Ni vema mkafikiria kuhamia ligi ya Championship embu kaeni chini mlitazame hilo.
Watahamia ligi ya kina mama, kina Ødegaard wataenda kucheza na dada zao, walau huko wana uhakika wa kubeba ndoo na kupata Ballon d'Or.
Ila huku kiumeni kila msimu wataishia kuwa bridesmaid.
images-23.jpg
 
Tetea Kiwigi anajihesabia mpaka sasa ana makombe mawili ya Epl kisa misimu miwili iliyopita amemaliza ligi kwa points nyingi kuliko points za mabingwa wa msimu huu.
Arsenyau mna siri sana, kumbe mmebeba mikombe miwili ya Epl halafu hata hamsemi.

# Tetea Kiwigi Mitano Tena.
images-11.jpg
 
Tetea Kiwigi anajihesabia mpaka sasa ana makombe mawili ya Epl kisa misimu miwili iliyopita amemaliza ligi kwa points nyingi kuliko points za mabingwa wa msimu huu.
Arsenyau mna siri sana, kumbe mmebeba mikombe miwili ya Epl halafu hata hamsemi.

# Tetea Kiwigi Mitano Tena. View attachment 3355714
Ila jamaa Flano kashata sana wewe.
 
Ila Tetea Kiwigi banaa, kabla ya kucheza nusu fainali na Psg aliwaaminisha mashabiki wa Arsenyau kua msimu huu hajaona timu yoyote bora kushinda Arsenyo, akawataka mashabiki wake waanze kabisa kusherehekea ubingwa, yeye atakua ndie kocha wa kwanza wa Asenyo kuvunja rekodi ya kuwaletea Uefa, kombe ambalo tokea timu imeanzishwa mwaka 1886 hawajawahi kulibeba.
images-22.jpg
 
Back
Top Bottom