Mchezaji wenu Partey kashindwa kufanya Central progression, timu ina rank no. 20, IQ ya mtu tunaipima kwenye vitu visivyoonekana kwa machoKwanza kama hatutakuwa na kiungo anayeweza kufanya central progression wakati wa kushambulia na badala yake tukategemea wings basi tuna msimu mwingine kama huu au uliopita.
Hatuna clinical finisher,
Hatuna defined left winger,
Hatuna namba 10 wa maana (baller),
Hatuna bench la maana baada ya kikosi Cha kwanza.
Jesus spana mikononi,
Martinell spana mikononi,
Harvets haeleweki kabisa,
Partey spana mikononi,
Timber spana mikononi,
Trossard umri,
Akili za wachezaji zibadilike,
Kocha abadilike (katugharimu na kumchezesha partey right back),
Sera za usajili zibadilike (wasingoje kutatua Kila tatizo mwisho wa msimu kuwe na January kit).
Tabia ya wamiliki ibadilike (wasimfanye kocha ajihisi Yuko too safe na kibarua chake)
Brother hunaibu ?Mchezaji wenu Partey kashindwa kufanya Central progression, timu ina rank no. 20, IQ ya mtu tunaipima kwenye vitu visivyoonekana kwa macho
season 7 itakua ni balaa🔥😁


Baada ya kuona ukame wa makombe unazidi wakaamua kujianzishia kombe lao la Emirates, kila msimu na wao wananyanyua kwapa. Yah we won't stop eating salary free nyamnyamWe 'll be stronger COYG💪 (🤣)
View attachment 3353586
Hilo Kombe la Emirates wanacheza timu ya wanaume vs ya wanawake.Baada ya kuona ukame wa makombe unazidi wakaamua kujianzishia kombe lao la Emirates, kila msimu na wao wananyanyua kwapa.
Ukiwasikia wenyewe wanasema Arsenyo ndoo hua wanamaanisha makombe haya. View attachment 3353733View attachment 3353734View attachment 3353735
Hapa hakuna timu. Msimu unapoanza malengo ni kusindikiza mabingwa kwa kuwatingishia wowowoo na huku wakisema chukua chukua yote yako
Acha kuwadanganya wewe Waliionyesha upinzani gani upinzani upi huo wamepigwa mechi zote nje ndani Home /Away kulikuwa na upinzani hapoAt least mlionyesha upinzani Kwa PSG , tofauti na Yale mambuzi kutoka Serie A ya kuitwa Inter Milan, very hopeless, fainali ya UEFA ikawa kama Ndondo Cup
DahBaada ya kuona ukame wa makombe unazidi wakaamua kujianzishia kombe lao la Emirates, kila msimu na wao wananyanyua kwapa.
Ukiwasikia wenyewe wanasema Arsenyo ndoo hua wanamaanisha makombe haya. View attachment 3353733View attachment 3353734View attachment 3353735




Kwa sajili anazoendelea kufanya CITY, Msimu ujao Arse8 anatoka mikono mitupu tena. Ni vema mkafikiria kuhamia ligi ya Championship embu kaeni chini mlitazame hilo.


Watahamia ligi ya kina mama, kina Ødegaard wataenda kucheza na dada zao, walau huko wana uhakika wa kubeba ndoo na kupata Ballon d'Or. 

Tetea Kiwigi anajihesabia mpaka sasa ana makombe mawili ya Epl kisa misimu miwili iliyopita amemaliza ligi kwa points nyingi kuliko points za mabingwa wa msimu huu. Ila jamaa Flano kashata sana wewe.Tetea Kiwigi anajihesabia mpaka sasa ana makombe mawili ya Epl kisa misimu miwili iliyopita amemaliza ligi kwa points nyingi kuliko points za mabingwa wa msimu huu.
Arsenyau mna siri sana, kumbe mmebeba mikombe miwili ya Epl halafu hata hamsemi.
# Tetea Kiwigi Mitano Tena. View attachment 3355714


Ila Tetea Kiwigi banaa, kabla ya kucheza nusu fainali na Psg aliwaaminisha mashabiki wa Arsenyau kua msimu huu hajaona timu yoyote bora kushinda Arsenyo, akawataka mashabiki wake waanze kabisa kusherehekea ubingwa, yeye atakua ndie kocha wa kwanza wa Asenyo kuvunja rekodi ya kuwaletea Uefa, kombe ambalo tokea timu imeanzishwa mwaka 1886 hawajawahi kulibeba. Ila jamaa Flano kashata sana wewe.


Imefikia wakati sasa mpaka ma legends wa Arsenyau wameshamchoka Tetea Kiwigi na False hope zake.