Unawatazama strikers walioko sokoni,
Unajiuliza sababu kuu ya sisi kukosa kombe lolote la maana msimu huu jibu linakuja kwa haraka majeruhi,ila baada ya muda unasikia sauti ya utulivu kabisa ndani yako ikikwambia "mshambuliaji"
Kwanza unaleta ubishi kwa kuangalia namna tulivyoathiriwa na majeruhi ya defenders,strikers tulionao,wings na hata viungo na jinsi walivyotuathiri kwa kukaa nje muda mrefu na unahitimisha kwa kusema " majeruhi" ni chanzo.
Kisha ghafla katika kufikiri unakumbuka Bayern kachukua ubingwa ana harry cane,
Inter wako final UEFA na lautaro
Barcelona Wana kombe na lewandowsk.
Liverpool Wana Salah japo sio natural striker.unafikiri na unajiuliza mwenyewe hivi kweli tatizo ni majeruhi tu au ubutu wa safu ya ushambuliaji.
Unawazaaaa ila unaamua kupotezea kwa kusubiri mechi ya fainali ya UEFA.Next season is loading
Same owner
Same players
Same coach
Same stadium
Same fans
Same attitude
Same love for our team.
Anything will change? Muda utaongea