"Sisi tunaweza dhulumiwa mechi 6 mpaka 8 na tukapoteza points kwenye 3 au 4 ya hizo mechi na zingine tukashinda."
Kwa hio hizo points 3 au 4 mnazo dhulumiwa ndio zimesababisha mkakosa ubingwa pia msimu huu?
Liverpool amemaliza ligi akiwa na points10 zaidi yenu, kwa hio hizo points 4 mlizodhulumiwa hata tukiwaongezea points 4 tena nyingine bado hamuwezi kuwa mabingwa.
Tunaposema kila siku kua Arsenyau kuanzia Management, kocha, wachezaji mpaka mashabiki wana mentality za mid table team sio kama tunawaonea.
Siku Arsenyau atakapoamua kuchange mentalities zao na kuact kama timu kubwa ndio msimu watakaoanza kubeba makombe, ila kwa hii inferiority waliyokua nayo kila msimu wataishia kua wasindikizaji tu.
Hii mentality waliyonayo Arsenyo ndio hii hii mentality inayotutafuna Waafrika tuliyopandikizwa na wakoloni.
Tunashindwa kua na maendeleo kwa excuse kua kutawaliwa na wazungu ndio kulikosababisha tuwe hivi, wakati wachina na mataifa mengine ya Asia tuliopata nao uhuru miaka sawa wenyewe wametuacha mbali kimaendeleo baada ya kujitambua na kuachana na hizi fikra mbovu.
View attachment 3348403