Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

ila rodrigo anakupa vyte kasoro ukabaji tu
Yes.

Ila ukabaji ni muhimu sana kwenye top levels za EPL na timu haziwezi kukubali kuwa na wachezaji wasiowajibika kisawasawa uwanjani. Kule mabeki wanakaba kibabe haswa na bado wanashambulia kama mawinga na mastriker hivyo unahitaji wachezaji wako wote wawe tayari kushiriki katika ulinzi ili kusaidia mabeki wako. Arsenal iankuwaga na defense bora si kwa sababu ya mabeki tu bali kwa sababu kina Kai na Odegaard na wengine kule mbele wanawajibika haswa, kama siyo kwenye 1v1 marking basi pia kwenye kujipanda kuziba mianya na kutengeneza overloads ( 😀 😀 😀 mambo ya dark arts) bila kuchoka.

Rodrygo, Vini na Mpappe walichangia kiasi kikubwa sisi kuwachapa kwa sababu ya ukabaji hafifu wao. Na ndiyo sababu mimi binafsi nitaanza na Martinelli ili kuhakikisha tunamtawala adui katika kila idara halafu Rodrygo aingie baadae wakati mpinzani yuko hoi. Nafikiri pia zile enzi za subs 3 tu hii mbinu ingefaa zaidi kuliko enzi hizi za subs 5 ila bado inasaidia.
 
Hoja kali sana hii.
Nafikiri pia ndiyo maana Arsenal haina wafungaji wenye magoli zaidi ya 10 ila ni miongoni mwa timu 4 za juu zilizoongoza kwa kufunga magoli mengi huku pia ikiwa katika timu zilizofungwa magoli machache. Kama ni kufosi, tunafosi, ingawa uzembe pia tunafanya.

Nikupe mfano. Je inakuwaje Arsenal iliongoza kwa kufunga magoli ya set pieces, licha ya kutofunga goli hata moja kwa direct free kick? Corner kicks na indirect free kicks. Jibu ni kwamba ulifika wakati Arsenal ilibidi ikazane na kutumia set pieces na ikafanyia kazi suala hilo.

Amorim akiwa Man United alisema hiki juu ya Saka na Martinelli- alisema hawa jamaa wakiingia kwenye box na kuruhusiwa ku cut in na kushoot, wanakuadhibu hivyo mabeki wanahakisha hawawaruhusu kucut in na kufunga.

Njia mbadala ya mabeki ikawa ni kuwaweka kwenye weak foot zao ili wakishindwa kushoot basi wapige cross. Cross inaweza ikazaa goli au mmaliziaji akakosa lakini pia mara nyingi cross hizo zilizaa kona. Arsenal ikajua hilo na ikajitahidi kuhakikisha inapata magoli kwenye hizo kona.

Hiyo ndiyo mentality ya kibingwa unayoiongelea.
Kona zilipofeli what happened?

Timu ika seize.

Hakuna bingwa wa namna hiyo.
 
Kona zilipofeli what happened?

Timu ika seize.

Hakuna bingwa wa namna hiyo.
Magoli yakapungua tukaendelea na open play goals. Hoja yako ni kuwa timu lazima zifosi njia za kupata magoli. Nikakuambia hata Arsenal inajua hilo na njia moja ya kufosi baada ya kuona wapinzani wako radhi kutupa kona kuliko kutuachia kushoot, tukabuni namna ya kuzitumia vilivyo hizo kona ili kupata magoli. Mbinu hii ikatubeba.

Kuhusu kona kufeli, kumbuka pia tulipoteza Havertz, Merino, Gabriel na Calafiori kwa vipindi virefu tu na kwa nyakati tofauti. Unajua hao nao walikuwa na mchango mkubwa tu kwenye kona zetu?
 
Its very fun to deal with fun cases.
Mimi nawaelewa sana mashabiki wa liver au city wakija kutuchangamsha humu na ni haki yao kabisa as they are highly decorated with success in recent years.

Ila hata man u,Chelsea au Newcastle?
Hahaaa hii inanikumbusha tabia za mwisho kwa mtu anayekaribia kuitwa marehemu
We zimetimia kweli???
766d1b682433c4346bb50e35a359788d.jpg
 
Magoli yakapungua tukaendelea na open play goals. Hoja yako ni kuwa timu lazima zifosi njia za kupata magoli. Nikakuambia hata Arsenal inajua hilo na njia moja ya kufosi baada ya kuona wapinzani wako radhi kutupa kona kuliko kutuachia kushoot, tukabuni namna ya kuzitumia vilivyo hizo kona ili kupata magoli. Mbinu hii ikatubeba.

Kuhusu kona kufeli, kumbuka pia tulipoteza Havertz, Merino, Gabriel na Calafiori kwa vipindi virefu tu na kwa nyakati tofauti. Unajua hao nao walikuwa na mchango mkubwa tu kwenye kona zetu?
Chelsea ina makombe yote ya EUFA. Ninyi Arsenal mna nini
 

Attachments

  • IMG-20250529-WA0001.jpg
    IMG-20250529-WA0001.jpg
    463.8 KB · Views: 9
Martinelli FC mupooooo , nyang'au kabisa ,niliwaambia Chelsea timu iliyojaa Makinda wachanga inainua kwapa mwaka huu kabla yenu ,ninyi pimbi.
Sasa subiri muone msimu ujao tunavyo wawashia moto
Kubeba makombe ni tabia na ni Jadi ya champions Chelsea
 
Chelsea ina makombe yote ya EUFA. Ninyi Arsenal mna nini
Hongera mkuu. Ndiyo hivyo na sisi tunapambana. Naelewa ukiniambia UCL na kwa mbali Europa hata sisi tumejaribu ila bahati bado haijawa kwetu. Ila hiyo Conference aisee wala usipoteze muda kuniambia eti mmebeba. Hilo sisi hatuwezi kulibeba kwa sababu hata kushiriki kwake hatujawahi na hatuwezi kisa tu huwa tunamaliza nafasi za juu sana kwenye ligi.
 
Netflix! mkija kugundua arteta ni tapeli itakuwa too late! Fukuza hiyo kenge maji !

Wachezaji wafuatao wafukuzwe na wafungwe mahakamani ;
Haverts
Odegaard
Martineli


Wafuatao wachapwe viboko 10, wafukuzwe ;
Rice
Calafiori
Raya
Partey

Wafuatao wanyimwe msosi two days, wapewe onyo kali ;
Saliba
Saka
Timber
Gabriel M

Wafuatao wanyang'anywe passport, hawastahili kuonekana England;
Skelly
Nwaneri
White
Kiwior
Zinny
 
Netflix! mkija kugundua arteta ni tapeli itakuwa too late! Fukuza hiyo kenge maji !

Wachezaji wafuatao wafukuzwe na wafungwe mahakamani ;
Haverts
Odegaard
Martineli


Wafuatao wachapwe viboko 10, wafukuzwe ;
Rice
Calafiori
Raya
Partey

Wafuatao wanyimwe msosi two days, wapewe onyo kali ;
Saliba
Saka
Timber
Gabriel M

Wafuatao wanyang'anywe passport, hawastahili kuonekana England;
Skelly
Nwaneri
White
Kiwior
Zinny
Hii inaitwa jeuri ya kushinda conference league 😀😀😀
 
Huku mkiendelea kufurahia mafanikio ya wanawake baada ya nyie ng'ombe wa kiume kuangukia pua kama kawaida.
Napenda kuwakumbusha kuwa wanaume wa London jana walishinda kombe la Ulaya, hii ni moja ya picha ambayo mkiiona itawauma 😂

20250529_002753.jpg
 
Too many parties in England

Liverpool:EPL Party 🏅
Chelsea: UECL party 🏅
Tottenham: UEL party 🏅
Arsenal: Thomas party 😭
London pale kuna timu tano za EPL.

Tatu zimebeba kombe mwaka huu.
Moja bado watoto, tumewasamehe 😂
Moja wamebeba majungu mwaka huu 😂

Palace 🏆
Spurs 🏆
London is blue 🏆


Fulham 😂
Arsenyembe 🍑
 
Back
Top Bottom