Shida siyo sisi kuconcede shida ni kuscoreInter na barca wote nyuma wapo wazi, na wote wanaombea psg apite ili fainal iwe nyepesi
Sikumbuki ni lini mara ya mwisho tunaruhusu goal tatu ndani ya mchezo mmoja
Hii uefa yetu
Merino, saka na Martinel siku hiyo wataamka vizuri, mtu sio mbuzi, usimkatie mtu tamaaShida siyo sisi kuconcede shida ni kuscore
"Inter na barca wote wanaombea psg apite ili fainal iwe nyepesi"Inter na barca wote nyuma wapo wazi, na wote wanaombea psg apite ili fainal iwe nyepesi
Sikumbuki ni lini mara ya mwisho tunaruhusu goal tatu ndani ya mchezo mmoja
Hii uefa yetu


Aiseeeee Arsenalia kwa kujipea umuhimu usiowahusu hawajambo.andaa risiti"Inter na barca wote wanaombea psg apite ili fainal iwe nyepesi"
Aiseeeee Arsenalia kwa kujipea umuhimu usiowahusu hawajambo.
We tuache tufanye yetu. Inter vs Arsenal UCL FinalHawa watu wanaongea humu kama walevi eti fainali sisi na inter alafu inter barca wote wanamtaka psg ili fainali iwe nyepesi inawezekana hawa arsenal fans kuna kilevi kingingine kikali kimeingia mjini wanakitumia maana sio kwa analysis zao hizi aisee mtu kakupiga kwako alafu anafikiria anaweza mfanyia comeback na yupo kwake really ukiwauliza nini kinawapa matumaini utaskia partey karudi
Hawa watu leo wanaweza kujinyonga seriously
Kwa OIL MONEY kila kitu kinawezekanaCity iliona mambo hayaendi. January akatumia 250M ili apate nafasi ya kucheza CL.
Arsenal tukaona mambo hayaendi. Ili kushindania kombe la ligi na CL hatukusajili mchezaji yeyote January
Ni sahihi, wabaki hukohuko kutetea kombe lao. Vinginevyo wawe na sifa kupitia ligi za kwaoKamati ya roho mbaya, kazee kenu kanazeeka na roho mbaya yake.
Nilikuaga najiuliza kwanini haka kazee hua hakanenepi?
#Arsenalia FcView attachment 3326840