Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Ila Mariona,Kim, Van Domselaar, Fox,Catley na Leah wamefanya kazi
Nafikiri hivyo pia. Zile points alizopoteza Jonas Eidevall mwanzoni zilitugharimu. Lakini pia baada ya kuwachapa Madrid na Lyon tulipigwa kama game 2 mfululizo kizembe zembe. Pia nafikiri Chloe Kelly tunaye kwa mkopo tu kwa sasa. Alianzia Arsenal na sasa yuko Man City, ila nadhani tunapaswa kumrudisha nyumbani.Angeanza mwanzo wa msimu angebeba ile wsl nadhani
Waliobetia Arsenal wameula.Nyie hata uwezo wa droo hamna. Mhindi kawapa 9!! Pain every where sio kwa wanaume sio kwa wanawake. Mmelaaniwa.
Sie wakina mama angalau wametupa invicible ya pili safiii. Ambayo mnatambaga nayo, mpk wamama wanaweza!! tena mara ya pili. Sio ishu tena.
Kelly nadhani nafsi yake ipo Arsenal kuliko City walio m-dumpNafikiri hivyo pia. Zile points alizopoteza Jonas Eidevall mwanzoni zilitugharimu. Lakini pia baada ya kuwachapa Madrid na Lyon tulipigwa kama game 2 mfululizo kizembe zembe. Pia nafikiri Chloe Kelly tunaye kwa mkopo tu kwa sasa. Alianzia Arsenal na sasa yuko Man City, ila nadhani tunapaswa kumrudisha nyumbani.
Yeah. Si ameanzia academy ya Arsenal kabisa huyu?Kelly nadhani nafsi yake ipo Arsenal kuliko City walio m-dump


Hili jukwaa siku hizi limekua ni la kushangilia rede, kweli Saint Anne hakukosea pale alipowaomba moderators wabadilishe jina la jukwaa lisomeke ARSENAL QUEENS.Hakuna aliyethubutu, point tisa nyingi sana kuamini itatoa. Ucheze mara 10 ushinde moja.Waliobetia Arsenal wameula.
Maelezo mengi (sugu voice) tuonyeshe kombe uliobeba mwaka huu au kukuonaa huruma miaka 5 nyuma .A reminder for everyone who needs to hear it 🫶🏼
League titles:
Arsenal - 13
Chelsea - 6
Champions League:
Arsenal - 0
Chelsea - 2
FA Cups:
Arsenal - 14
Chelsea - 8
Community Shields:
Arsenal - 17
Chelsea- 4
Major honours won:
Arsenal - 48
Chelsea - 34
Relegations:
Arsenal - 0
Chelsea - 6
League and cup doubles:
Arsenal - 3
Chelsea - 1
Invincible:
Arsenal - 1
Chelsea - 0
Played in conference league
Arsenal -0
Chelsea -1
Lowest position finish:
Arsenal - 12th
Chelsea - 20th
Arsenal wins against Chelsea - 83
Chelsea wins against Arsenal - 66
Mtoto wa kambo umefikaMaelezo mengi (sugu voice) tuonyeshe kombe uliobeba mwaka huu au kukuonaa huruma miaka 5 nyuma .
Miaka 5 nyuma Chelsea Ana UEFA na league vipi kikundi chako kina nini???
Miaka 10 nyuma still Chelsea ana UEFA na ligi vipi wewe team yako ina nini??