Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

😂😂😂😂😂😂😂😂 aaaah leo ngoja nipitie hizi hopes za arsenal.
Huyu furaha kubwa ya mpira ni kumfunga real madrid ambaye hata leganes wanamfunga.

Wakati chelsea, man utd , Liverpool na man city furaha yao kubwa zaidi ni kubeba uefa , kuna arsenal fan yeye furaha kubwa aliyoipata toka aanze kuangalia mpira ni kumfunga real madrid 😅.
We jamaa ni mwehu😂😂😂😂😂🙌🏿
 
Reshape miaka 7… uzuriii wa false hopes huwa haziiishi mpaka mnazeeka .
Just imagine halland, foden, elliot, trent wamezaliwa wakanyonya wakacheza under 5, under 10 na under 15 lakini wana makombe mengi wamenyanyua kuliko uliyotazama arsenal akinyanyua.
Nasema uongo ndugu zangu wa supercomputer??😂😂
Nimelia sana😹😹😹
 
Kwa namna ambavyo wameshinda nafasi ya mshindi wa 2 mara 3 mfululizo, wameishabweteka hawa punda. Mwakani tunawakuta nafasi za kina crystal palace uko.
Relaaax kunywa maji this is arsenal mkuu,we will win it in our ways
 
Kwa namna ambavyo wameshinda nafasi ya mshindi wa 2 mara 3 mfululizo, wameishabweteka hawa punda. Mwakani tunawakuta nafasi za kina crystal palace uko.
Kazi ya wasindikizaji ni kupanga mstari na kupiga makofi ya heshima kwa mabingwa.
Ila United jeuri sana aiseee, katika kipindi chote cha miaka 12 ya kukosa Epl hatujawahi kudharauliwa namna hii, msimu ujao itakua ni zamu yetu kupewa hii heshima, Tetea Kiwigi na Makinda yake lazima wapange mstari watupigie makofi kwenye gwaride la heshima.
Kamati ya FA msimu ujao tunaomba mechi yetu ya marudiano na Achenal iwe ya mwisho kabisa.
images-1.jpg
 
Gyokeres namuona hana mambo mengi japo magoli mengi aliyofunga anaonekana Yuko very comfortable against defenders kitu ambacho hawezi PATA kwa beki ngumu za epl
Man city aliwapiga hat trick ni mabeki wa EPL

Magoli anafunga Kai, Merino ila Gyokeres ndo atapata tabu mkuu?
 
Gyokeres namuona hana mambo mengi japo magoli mengi aliyofunga anaonekana Yuko very comfortable against defenders kitu ambacho hawezi PATA kwa beki ngumu za epl
Mimi gyo ananitia wasi wasi naona nofoward wa kawaida,timu ikibanwa sana hawez kuoffer kitu kingine,halland na uzuri wake wote man city ilivyopotea na yeye akapotea
 
Back
Top Bottom