Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Baada ya kukosa vyoteKilichobaki tujadili msimu ujao tu,
What if tukamsajili dembele, merino afundishwe kucheza 6 alafu rice acheze cm
Then tutafute 9 wakueleweka, havertz awe anapokezana na rice au uyo 9.
At the same time nwaner awe intergrated zaid kwenye AM
Kwa hiyo mikwara unaweza usilete timu uwanjani 😁View attachment 3327537
Chuma imeganda kwa hewa.
Leo Manchester Nyumbu anacheza kapewa Odd 3Mie ni fan lia lia wa futiboli, ila kubet hapana.
Nililiwa mara moko, sitaki tena hata kusikia.
😂😂😂😂😂
Kwanza Mungu apokei maombi ya namna hiyoWaombee peke Yako sifanyi huo ujinga Hilo kombe wakishinda haliandikwi EPL
Au we chief ndo Geoff Leah unatumia hyo avatar?
Wote hamna kitu Tena afadhali ya madueke kidogo😂Bila shaka ww ni shabiki wa cheltako, acha kumfananisha matinell na vitu vya kijinga
Usinichoshe, 🤣 kama ni kweli unanionea huruma nitumie kipande cha keki. 🍰Hao wengine hata nafasi za wazi hawajazipambania kuzipatq ila analaumiwa Saka tu
Mpira hauko hivyo mkuu. Anything can happen. Kabla ya Arsenal kucheza na PSG ulitegemea kilichotokea?CONGRATULATIONS INTER MILAN, sioni kama psg anauwezo wa kumfunga inter kabisa
Kina Masingeli wenyewe wanakwambia Tetea ndie mwalimu wa PepArteta ni mwanafunzi wa Pep kwa asilimia kubwa, hili halina ubishi. Amechukua mbinu nyingi toka kwa Pep akiwa City iliyokuwa na Gundogan, Silva, Bernado, KdB, Aguero, Mahrez, Sane, n.k. Na pengine ameangalia mbinu za Pep akiwa Barca iliyokuwa na Xavi, Messi, Busquet na Iniesta. Kwa lundo la talents kama hizi Pep alikuwa hatumii nguvu kubwa kufikisha ujumbe wake kwa wachezaji na matokeo yanapatikana. Ndio maana jamaa hakuwa anawekeza sana kwenye CF kwenye timu zake.
Ila sasa Arteta anataka kucheza bila CF (eti Merino/Kai) halafu support ya attacking brains inatoka kwa Odegaard, Martinelli, Saka na Rice.
Mngechukua kombe ilikuwa dhihaka kubwa sana kwa ulimwengu wa mpira. Kila siku humu tunawaambia tatizo ni Arteta, ninyi mnawalaumu Kroenke.
Rice sio mchezaji wa 105miliions, hana tofauti na Henderson wa Liverpool ambaye media za uingerezz zilitaka apewe Ballon d Or