Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hapa leo ni kushangilia yeyote atakayeshinda tu
 
Jukwaa limepoa kama vile daktari ameshathibitisha kifo cha mgonjwa, kuna wale waliokuja na uji kama vile nawaona jinsi walivyo duwaa.
1713703836843.jpg
 
Mpira ni mchezo wa wazi.

Mapungufu ya kushindwa kuicheza kona yametugharimu.

Na ukitoa hayo magoli yao mawili ya kona unafikiri kuna kitu gani walichonizidi?

Mda wote nawashambiulia.

Lamine anapindua anavyotaka.

Second leg watu watastaajabu sana.
Na wamestaajabu kweli, 😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom