Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jukwaa limepoa kama vile daktari ameshathibitisha kifo cha mgonjwa, kuna wale waliokuja na uji kama vile nawaona jinsi walivyo duwaa.
1713703836843.jpg
 
Mpira ni mchezo wa wazi.

Mapungufu ya kushindwa kuicheza kona yametugharimu.

Na ukitoa hayo magoli yao mawili ya kona unafikiri kuna kitu gani walichonizidi?

Mda wote nawashambiulia.

Lamine anapindua anavyotaka.

Second leg watu watastaajabu sana.
Na wamestaajabu kweli, 😂😂😂😂😂
 
Arsenal anang'okaa km kawaaa. 😂😂😂😂😂
Atake asitakee, UEFA sio size yao kabisa, wawapishe wakubwa. Lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom