Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Ni sahihi, wabaki hukohuko kutetea kombe lao. Vinginevyo wawe na sifa kupitia ligi za kwao


TeknolooooojiaaaaWork smarter not harder
Ni sahihi, wabaki hukohuko kutetea kombe lao. Vinginevyo wawe na sifa kupitia ligi za kwao


TeknolooooojiaaaaMimi siyo shabiki wa Arsenal, lakini nataka washinde kwa sababu nadhani wanastahili. Timu yao ni nzuri na Arteta kafanya kazi nzuri sana. Tatizo ni lao kubwa ni kutokuwa na striker na pia timu yao haina wigo mkubwa wa wachezaji.Inter vs arsenal fainali
Nili tabiri kuwa inter vs arsenal fainali, inter tayari subiri arsenal amalizie kazi.Tumeshatoka,tumeenda tu kukamilisha ratiba Paris.
arsenal ana shinda leoManeno yapi hayo ya akiba unayotanitaka niyaweke?
Au unakusudia yale maneno yako ya akiba ya zile picha zilizoanza kuvuja? View attachment 3327141
arsenal ana shinda leo


Labda kama unamaanisha anashinda njaa. tusubiri game uanze, taarab nyingi hazi faiLabda kama unamaanisha anashinda njaa.
Mkuu itakua wewe ni mgeni wa Arsenalia kwenye mechi ambazo zina pressure kubwa.
Kama tulipata ushindi bernabeu na uwanja ulifungwa kwa juu, mm nakushauri uzimalize maneno yoteManeno yapi hayo ya akiba unayotanitaka niyaweke?
Au unakusudia yale maneno yako ya akiba ya zile picha zilizoanza kuvuja? View attachment 3327141