Arsenal (The Gunners) | Special Thread

alafu hapa wanakuambia next season wao fainali uwakika wakipata striker yani hawaoni kama msimu mbovu wa wengine ndio silver lining yao

Man city Bayern Barca Madrid yani kama vile Hawa watu hawata sajili kuja kukompete vizur pia ukiangalia majeruhi wao wanao rudi msimu ujao hata hao psg wanaweza wasisikike tena baada ya hii fainali
 
Huyu ni hamis77 au ukipenda muite Masingeli.
 
Eti, Defence yetu haitowaruhusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…