Sasa unaniulizaje lakini? Ok, assuming akili huna mi ntafanyaje sasa?Inasikitisha sisi ndio tunawaona nyie wehu kumbe nyie hamjitambui ndio fools, kuwa shabik wa Arsenal lazima kuna fuse zinakua zimepga shoti mahala.
Hapo na msimu huu mtatoka patupu, mtakuja kumsifia Arteta kuwa mmetolewa kwnye hatua nzuri, hizo ni akili??