Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Arsenal yaenda shimoniOya unazingua mzee, eti boko haramu😅
Soka la wanawake kwanza ninacholipendea ni uhakika wa magoli, yaan huku hakunaga kupaki basi hata kama timu zilizokutana zina tofauti kubwa sana kiubora... na ndio maana unaona timu kama barcelona kushinda 7-0, 9-1, 6-2, ni kawaida sana.
Mechi ya leo tumeingia uwanjani huku Lyon akiwa tayari ana faida ya ushindi wa 2-1, lakini kachezea goli 4 pale pale kwake kwa sababu alikuwa anashambulia licha ya kuwa na matokeo, ingekuwa ni mechi inayowakutanisha wanaume kwa haya matokeo pengine tungeshuudia mechi ikimalizika 0-0 huku mechi ikitawaliwa na mbinu chafu za kupoteza muda na kupak bus.
Kingine ni nadra sana kuona mechi za wadada zikigubikwa na maugomvi ugomvi kama kile ulichoona jana kikifanywa na akina Rudger.
Baada ya kuona Liverpool ananyanyua kwapa tena ndani ya miaka michache tu
Huku arsenali akiwa mshindwa sugu, Mwaka wa 20
No epl
Kaenda kutafuta faraja kwenye soka la akina Dada ambalo hata sisi akina dada hatuna mzuka nalo.
