Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Siku hizi wameacha kufananisha makocha wao na Arteta. Huu ujinga walikua nao nyumbu na kenge.

Wakamleta hadi De Zerbi kwenye huu mkumbo.

Kenge wameacha kumfananisha Palmer na Saka.

Opposition is too quiet. Comparison ends violently wanarudi field kutafuta mwingine wa kumfananisha.
Hivi ni nani huwa anawafananisha?? Kwa mafanikio gani Arteta aliyonayo mpk afananishwe? Au wanafananishwa kwa creteria gani? Mana mpk sasa Saka na Arteta wote ni mafailures.
 
Kenge nyie
IMG-20250427-WA0004.jpg
 
Oya wazee mnaangalia lakini hichi kichapo tunachomshushia Lyon huku?

Mama wa michuano Champions league ya wanawake?

mpaka sasaa dk 72

Lyon(W) 0-4 Arsenal(W)

Walivyotufunga mechi ya kwanza nikajua leo watatukaanga vizuri, kumbe nilikuwa nawakosea wachezaji wetu kwa kutokuwa na imani nao.

Na hii sio mara ya kwanza kuwapa kichapo cha mbwa mwizi hapo hapo kwao.

ACha tujiandae na mbabe wa michuano kwa sasa barcelona ambaye ametoka kumpa kichapo cha mbwa mwizi chelsea pale pale darajani.
 
Montemurro alijenga timu kali yenye akina Miedema, Van De Donk, Evans, nk. halafu akaishia zake na kutuacha tukisota na Eidevall jangwani. Sasa bahati nzuri tumemata Slegers, acha tu tumpe adhabu ya kichapo na Lyon yake hapo hapo kwake na kuingia fainali.
 
Hivi ni nani huwa anawafananisha?? Kwa mafanikio gani Arteta aliyonayo mpk afananishwe? Au wanafananishwa kwa creteria gani? Mana mpk sasa Saka na Arteta wote ni mafailures.
Kwa Arsenyau Tetea ana mafanikio makubwa sana, miaka 12 aliyokuwepo hapo Sober house ana makombe mawili ya FA, hilo ni jambo kubwa sana kwa timu kubwa kama Arsenyo, ndio maana mashabiki wote wa Asno hua wanajivunia sana mafanikio makubwa ya kocha wao.
Tetea mtu wa maana kabisa, apewe life contract na 10% ya umiliki wa timu.
 
Oya wazee mnaangalia lakini hichi kichapo tunachomshushia Lyon huku?

Mama wa michuano Champions league ya wanawake?

mpaka sasaa dk 72

Lyon(W) 0-4 Arsenal(W)

Walivyotufunga mechi ya kwanza nikajua leo watatukaanga vizuri, kumbe nilikuwa nawakosea wachezaji wetu kwa kutokuwa na imani nao.

Na hii sio mara ya kwanza kuwapa kichapo cha mbwa mwizi hapo hapo kwao.

ACha tujiandae na mbabe wa michuano kwa sasa barcelona ambaye ametoka kumpa kichapo cha mbwa mwizi chelsea pale pale darajani.
Dah badala ushangilie ushindi wa Liverpool unahangaika na mipira ya kina mama?
 
Montemurro alijenga timu kali yenye akina Miedema, Van De Donk, Evans, nk. halafu akaishia zake na kutuacha tukisota na Eidevall jangwani. Sasa bahati nzuri tumemata Slegers, acha tu tumpe adhabu ya kichapo na Lyon yake hapo hapo kwake na kuingia fainali.
Mwaka huu fainali ZTE mbili ni Arsenal vs Barcelona....kwa mademu na kwa kina Kai mikazo🤠🤠🤠.....Barcelona watakutana na kitu kizito sana kwakwli....nimeangalia mechi Yao ya jana tukikutana nao wale tutawadunda Dunia ikae inashangaza🤠🤠🤠
 
Mwaka huu fainali ZTE mbili ni Arsenal vs Barcelona....kwa mademu na kwa kina Kai mikazo🤠🤠🤠.....Barcelona watakutana na kitu kizito sana kwakwli....nimeangalia mechi Yao ya jana tukikutana nao wale tutawadunda Dunia ikae inashangaza🤠🤠🤠
Yaani full buradani. Tumezingua sana kwenye ligi na kuonewa sana na kudhulumiwa sana juu. Huu mwaka unaonekana tumerudi nyuma maana hata pointi 70 tu mpaka sasa hatujafikia. Edu alitutema hata nusu msimu hatujafika na kutuharibia ratiba.

Ila pamoja na yote hayo club yetu pendwa Arsenal bado inasonga mbele. Wanawake washafika fainali ya Champions League, wanaume wanauwezo wa kufika fainali ya Champions League. Under 18s nao si haba...

Tuendelee tu kupambana na kupanda juu hivi hivi. Siku zetu zinakuja.
 
Hivi ni nani huwa anawafananisha?? Kwa mafanikio gani Arteta aliyonayo mpk afananishwe? Au wanafananishwa kwa creteria gani? Mana mpk sasa Saka na Arteta wote ni mafailures.
YOur fellow fools opted out hawajasema kitu
 
Back
Top Bottom