Hivi ni nani huwa anawafananisha?? Kwa mafanikio gani Arteta aliyonayo mpk afananishwe? Au wanafananishwa kwa creteria gani? Mana mpk sasa Saka na Arteta wote ni mafailures.Siku hizi wameacha kufananisha makocha wao na Arteta. Huu ujinga walikua nao nyumbu na kenge.
Wakamleta hadi De Zerbi kwenye huu mkumbo.
Kenge wameacha kumfananisha Palmer na Saka.
Opposition is too quiet. Comparison ends violently wanarudi field kutafuta mwingine wa kumfananisha.
