No, Arsenal haideserve kombe lolote msimu huu.Chief unamwili ambao nyongo yake haijafungwa vizuri, jambo kidogo ishamwagika.
Naona bado roho inakuuma. unadhani unadeserve ile nafasi?
Gape la pts 15 na bado tuliaminishwa ninyi ni macontender. Watu walifikisha points 97 na bado wakawa nafasi ya pili pia washafikisha point 92 na bado wakawa nafasi ya pili.
Hamna hiyo quality mnadanganyana humu ndani ndio maana watu kama kina Flano ,Labyrinth 84 , fuentte wamegeuza huu ni uzi wa kuja kuondoka stress zao za maisha.
Kama huu uzi unaweza kusaidia mtu kuondoa stress even better, maisha ni mafupi.
You get lost easily katika character observation. Ruka hiyo barrier.
