Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi mnaamini Arsenal mtabeba ubingwa?! embu acheni masihara tangu lini mkawa serious kubeba ubingwa!!

Mara hii mmeshasahau nyie mmelaaniwa!!

Mkibeba ubingwa niitwe Chura nimekaa palee.
Churaaaaaaaa📢📢📢📢📢📢📢

In advance. 😎😎
 
Naona psg leo enrique amepumzisha wachezaji wengi wa first eleven kwa ajili ya maandalizi na game yetu dhidi yao.Arteta anapaswa kuchukua tahadhari kesho key players awapumzishe.
Mechi tarehe 29 unapumzisha watu leo?

PSG ana wachezaji wengi ambao wanakua considered kama stars. Ni kawaida yao kubadili kikosi mara kwa mara.

PSG ambayo tuliifunga na ambayo ilicheza kabla hatujawafunga na baada ilikua inabadilishwa haswa kwenye defense na mid.

Hajapumzishwa mtu ndiyo tabia yao
 
Partey hayupo na tayari fanbase inachakata nani atatawala mid. Niliwahi kusema kwamba Jorginho ana pasi nzuri ila physical na pace inakua muziki kwake.

Ili umpe ahueni kwenye defense inabidi uhakikishe anapata watu ambao dimba hawalisahau sana. Kama itawagea relief kwa ambao hamjui ni kwamba Arsenal inajadiliana mkataba mwingine na kambi ya Partey.

Anaweza ongezwa mkataba wa miaka 2.
 
By default Inter atacheza low block na kurely kwenye counter. Naassume Barcelona watarely kwenye hizi cross na wings ili kuisasambua hii defense.

Sisi pia tulijaribu hivyo dhidi ya Inter na tukatoka kapa. Tukatoka na possession ya 63% total shots 20, on target 4, off target 6 na shots 10 zote basi Lao lilihakikisha haupiti mpira wowote.

Tukawa na big chances 3 na zote tukamiss. With Barcelona hizi big chances 3 inawezekana 2 au moja ikamkuta Lewandowski, so obviously Barcelona ana chance ya kupita simply kwakua ana striker, na ni bonge la striker mshkaji.

Ni ngumu kwa msimu huu sisi kucheza na low block teams simply kwakua hatuna ST. Naona Barcelona akipita kwenye hii tie.
 
Pia naona Arsenal tuna faida moja kwamba wachezaji wetu hawagewi presha, utagundua presha wanagewa timu pinzani zaidi kwa kuwaaminisha wanatakiwa kuitoa Arsenal.

MFano wakisema tunahitaji goli dk 15 za mwanzo kisha dakika ya 52 hata on target hakuna hii inazidi kuwapa presha. PSG hawajaufuata huu mtego pengine kwakua tushacheza nao na wameona ugumu.

Kuna mtangazaji alikua anasema "Watu wanaichukulia poa Arsenal kiasi kwamba hawaipi credit wanayostahili. Hivyo akishinda hawaoni strength ya Arsenal badala yake wanatafuta weakness ya mpinzani. Bila kujua hiyo weakness imekua exposed na strength ya Arsenal"
 
Utamchukia tu.

Ana pace, skills na flair ila siyo ball striker mzuri na hakusaidii kukaba.

Kubwa zaidi jamaa ni injury prone.
Hata mimi nafikiri tusijisumbue nae. Bora Nico Williams mwenye release clause ya £50m hivi na anaweza kutaka wages chini ya 120,000 kwa wiki. Williams na Gyokeres ama Ekitike nadhani forward line itaimarika. Labda na Mbeumo wa Brentford, siyo mrefu na haonekani kama mchezaji ila ana nguvu na mbio na hachagui mguu wa kushoot.
 
Hata mimi nafikiri tusijisumbue nae. Bora Nico Williams mwenye release clause ya £50m hivi na anaweza kutaka wages chini ya 120,000 kwa wiki. Williams na Gyokeres ama Ekitike nadhani forward line itaimarika. Labda na Mbeumo wa Brentford, siyo mrefu na haonekani kama mchezaji ila ana nguvu na mbio na hachagui mguu wa kushoot.
Mbeumo yuko vizuri. Too bad sijawahi kumuangalia Williams game nzima huyu sina cha kusema. Ila nasikia ni kama Martinelli aliyechangamka.

Kuna mshkaji anaitwa Kolo Muani, he started better ila baada ya mechi ya world cup alivyokosa goli akawa hayupo sawa pia Juve wameamua wamuweke benchi na wamchezeshe Dusan zaidi ili bei ya Dusan ipande wamuuze.

Kama kuna namna ya kumrudishia kujiamini Kolo Muani siyo mbaya plus tutampata cheap
 
Back
Top Bottom