Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Zinsberger hapana
Mtoto mzuri ila golini nahisi atakuwa anatuangusha.Zinsberger hapana
Churaaaaaaaa📢📢📢📢📢📢📢Hivi mnaamini Arsenal mtabeba ubingwa?! embu acheni masihara tangu lini mkawa serious kubeba ubingwa!!
Mara hii mmeshasahau nyie mmelaaniwa!!
Mkibeba ubingwa niitwe Chura nimekaa palee.
Apunguze mshaharaKingsley Coman kwa £30m na mshahara wake ni £280k per week. Je atatufaa?
Aende zake uarabuni kumalizia ballKingsley Coman kwa £30m na mshahara wake ni £280k per week. Je atatufaa?
Kwamba dogo huenda anazaidi ya miaka 18 au?
Mechi tarehe 29 unapumzisha watu leo?Naona psg leo enrique amepumzisha wachezaji wengi wa first eleven kwa ajili ya maandalizi na game yetu dhidi yao.Arteta anapaswa kuchukua tahadhari kesho key players awapumzishe.
Utamchukia tu.Kingsley Coman kwa £30m na mshahara wake ni £280k per week. Je atatufaa?
Hata mimi nafikiri tusijisumbue nae. Bora Nico Williams mwenye release clause ya £50m hivi na anaweza kutaka wages chini ya 120,000 kwa wiki. Williams na Gyokeres ama Ekitike nadhani forward line itaimarika. Labda na Mbeumo wa Brentford, siyo mrefu na haonekani kama mchezaji ila ana nguvu na mbio na hachagui mguu wa kushoot.Utamchukia tu.
Ana pace, skills na flair ila siyo ball striker mzuri na hakusaidii kukaba.
Kubwa zaidi jamaa ni injury prone.
Mbeumo yuko vizuri. Too bad sijawahi kumuangalia Williams game nzima huyu sina cha kusema. Ila nasikia ni kama Martinelli aliyechangamka.Hata mimi nafikiri tusijisumbue nae. Bora Nico Williams mwenye release clause ya £50m hivi na anaweza kutaka wages chini ya 120,000 kwa wiki. Williams na Gyokeres ama Ekitike nadhani forward line itaimarika. Labda na Mbeumo wa Brentford, siyo mrefu na haonekani kama mchezaji ila ana nguvu na mbio na hachagui mguu wa kushoot.
Hahaha, una mmind sana? Ngoja nikwambie mtoto mzuri alipo, kuna namba 2 wa Manchester United anaitwa Gabrielle George, ana undugu na Lingard. That girl is cool.Mtoto mzuri ila golini nahisi atakuwa anatuangusha.
Unamjua Alisha Lehman?Hahaha, una mmind sana? Ngoja nikwambie mtoto mzuri alipo, kuna namba 2 wa Manchester United anaitwa Gabrielle George, ana undugu na Lingard. That girl is cool.