Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mbeumo yuko vizuri. Too bad sijawahi kumuangalia Williams game nzima huyu sina cha kusema. Ila nasikia ni kama Martinelli aliyechangamka.

Kuna mshkaji anaitwa Kolo Muani, he started better ila baada ya mechi ya world cup alivyokosa goli akawa hayupo sawa pia Juve wameamua wamuweke benchi na wamchezeshe Dusan zaidi ili bei ya Dusan ipande wamuuze.

Kama kuna namna ya kumrudishia kujiamini Kolo Muani siyo mbaya plus tutampata cheap
Kolo Muani ni mzuri. Ana nguvu na kasi na akili. Kama tutaweza kumsaidia arudishe confidence, kweli atatufaa. Nico Williams kwa kidogo nilivyomuaona nafikiri kwenye attack na take-ons yuko vizuri zaidi ya Martinelli ila kwa defensive contributions na general work rate, sidhani kama anamfikia. Ndiyo maana ningependa tuwe nao wote wawili wapeane changamoto viwango vyao wote vipande.
 
Hahaha, una mmind sana? Ngoja nikwambie mtoto mzuri alipo, kuna namba 2 wa Manchester United anaitwa Gabrielle George, ana undugu na Lingard. That girl is cool.
Hahahaha. Ni mtoto pale Arsenal ambaye tangu aje nikawa nasema 'huyu ni pisi kali ila simuoni kama mchezaji kwa jinsi alivyo na bonge la shape', tofauti na mrembo kama Lia Wälti ambaye ni mrembo ila ana mwili wa kisoka bila kuwa kama bouncer.

Ila ndiyo hivyo tena nisingeweza kupata nafasi kwao kwa sababu ya jinsia yangu. Kama Zinsberger nadhani ni mwaka huu tu hapa mke wake kajifungua.
 
Kolo Muani ni mzuri. Ana nguvu na kasi na akili. Kama tutaweza kumsaidia arudishe confidence, kweli atatufaa. Nico Williams kwa kidogo nilivyomuaona nafikiri kwenye attack na take-ons yuko vizuri zaidi ya Martinelli ila kwa defensive contributions na general work rate, sidhani kama anamfikia. Ndiyo maana ningependa tuwe nao wote wawili wapeane changamoto viwango vyao wote vipande.
Changamoto ni kwamba Williams anaamini anatakiwa kua starter. Umri wa Martinelli na WC inakaribia hawezi ridhika kua sub.
 
Changamoto ni kwamba Williams anaamini anatakiwa kua starter. Umri wa Martinelli na WC inakaribia hawezi ridhika kua sub.
Brazil watakuwa wameweza kuqualify kweli? Niko tayari kumpoteza Trossard kwa sababu ya umri wake, ila tunahitaji wingers wawili wa kushoto wachangamfu.
 
Brazil watakuwa wameweza kuqualify kweli? Niko tayari kumpoteza Trossard kwa sababu ya umri wake, ila tunahitaji wingers wawili wa kushoto wachangamfu.
Trossard pia anaondoka hata hivyo, sasa ukishakua na winger anayekupa magoli constant kumuweka benchi ni ngumu. So yeyote Martinelli au Nico akiwa scorer au assistant mzuri hawezi tena kulamba benchi mpaka mmoja ataomba kuondoka
 
Trossard pia anaondoka hata hivyo, sasa ukishakua na winger anayekupa magoli constant kumuweka benchi ni ngumu. So yeyote Martinelli au Nico akiwa scorer au assistant mzuri hawezi tena kulamba benchi mpaka mmoja ataomba kuondoka
Shida kote kote.
 
Ni bisexual huyu 😅😅 kuna muda alitoka na player wa PSG women jina limenitoka.
Ana tako laini balaa
Daah. Basi kwa Lehman wanaume tuna nafasi 😀😀😀. Na pale Brighton kuna Aisha Masaka, mbongo, mrembo. Sijui kama wahuni wa kike watakuwa wamemuacha salama.
 
Daah. Basi kwa Lehman wanaume tuna nafasi 😀😀😀. Na pale Brighton kuna Aisha Masaka, bongo, mrembo, sijui kama wahuni wa kike watakuwa wamemuacha salama.
Hahaha sasa si hadi na yeye awe anaprefer hizo ishu kama hana preference hiyo inabidi uzame dm mzee.

Ila Luiz kwa Lehman anasmash binti mzuri
 
Kibanda umiza walikua wanaonyesha game ya Simba na ya Nyumbu.

Bora mtu akaze macho game ya Simba
 
Hahaha sasa si hadi na yeye awe anaprefer hizo ishu kama hana preference hiyo inabidi uzame dm mzee.

Ila Luiz kwa Lehman anasmash binti mzuri
😀😀😀 nasikia mtoto wa Singida yule. Sidhani kama atawapa nafasi jinsia yake wamuharibie maisha 😃😃😃. Anyway, niliangalia game ya wanawake wetu na Brighton ambayo tuliwapiga fresh kabisa na Aisha akaumia vibaya. Nilisikitika aisee na sijui kama atakuwa amerudi kucheza mpaka sasa.
 
Back
Top Bottom